Othman Qadir
Member
- Apr 19, 2024
- 35
- 82
Wewe ni mwanamke kama unaishi kwa support ya hao wanaume wa Dar basi hao ni maboss wako wewe Mimi hawanihusu.Ulipokosea ndiyo hapa mkuu...wanawake wa mbeya wengi tunaweza kuishi mjini kwa maringo ni kwa sababu ya maboss wa Dar. Naomba uombe msamaha kwao kwanza
Ulitakiwa uandike tangazo bila kuattack wengine mkuu...ndiyo busaraWewe ni mwanamke kama unaishi kwa support ya hao wanaume wa Dar basi hao ni maboss wako wewe Mimi hawanihusu.
Kila mmoja apambanie kombe lake
Karibu , endelea kupiga chabo . Mmoja wapo huyo hapo juu amejitokeza we mlie mingo anayesema wa Dar ndio maboss zakeMi naona noma kuanzisha uzi ila nitakua nachungulia hapa wakijutokeza na mimi nibembeleze mmoja
Ataweza kukudekeza kweli?Nakuja tuyajenge.
Nitamfunza.Ataweza kukudekeza kweli?
Huyo endelea nae ulieanzisha uzi unatakiwa uwe wa kwanza kupata mkuu ila akijitokeza mwingine we nipigie pandeKaribu , endelea kupiga chabo . Mmoja wapo huyo hapo juu amejitokeza we mlie mimngo anayesema wa Dar ndio maboss zake
Sija mu-attack mtu but I spoke the reality.Ulitakiwa uandike tangazo bila kuattack wengine mkuu...ndiyo busara
kila la heri brother.Assalamualaikum Wana familia ya jf.
Nina ishi mbeya mjini sehemu inaitwa Airport ya zamani.
Natafuta mwanamke anayejitambua na mwenye uhitaji wa mume ili kujenga familia.
Sifa zake
Awe mwanamke mzuri na mwenye hofu ya Mungu, umri kuanzia miaka 23 na usizidi miaka 40.
Ukiwa singo mama basi usiwe na zaidi ya watoto watatu.
uwe na shuguli/ kazi ya kukuingizia kipato hata kama ni kidogo lakini sio mtu wa kukaa tu nyumbani 24/7 hapana.
Sibagui dini - sisi sote ni wa Mwenyezi Mungu kikubwa ni upendo wa kweli, kuheshimiana na ku- focus maisha kwa pamoja.
Sifa zangu.
Nina miaka 40. Nina mtoto mmoja.
Nina uhitaji wa kweli.
Maisha ya mbeya ni rahisi sana, hivyo pamoja na kuhakikisha kuwa ndani Kuna kila kitu - Mchele, unga, mafuta, sukari, gesi ya kupikia, n.k bado mke atakuwa na bajeti ya ziada sh. Laki moja na nusu (150,000/=) average cost of 5,000/= per day kama Kodi ya mezani na inaweza kuongezeka kulingana na context.
NB: Najua wapo watakao kuja na kejeli kuwa hiyo pesa haitoshi lakini akiwa mwanamke ambaye hana mtoto hiyo pesa kwa hapa Mbeya mjini ni kubwa sana na maisha yatakuwa poa. Akiwa singo mama na yeye akiwa na kazi ya kuingiza kupato japo kidogo still hiyo fedha itakuwa na maana sana.
Watu wa Dar mkae kwa kutulia hatutaki shobo maandazi - kujifanya mmepatia maisha kumbe mnateseka kila uchao na wala hamjui kesho yenu zaidi ya kutafuta pesa ya ugali, nauli ya daladala na Kodi ya chumba kimoja tena uswahilini.
MWANAMKE MWENYE NIA YA DHATI KARIBU SANA PM ,
NB : LOCATION - MBEYA MJINI, Kama upo very interested na upo nearby Mbeya ukija PM nyosha maelezo yako vizuri but sihitaji distance relationship.
Pia uwe ready kupima UKIMWI pamoja nawe mara TATU.
Hapa umeandika kwa makasiriko, halafu hapo hapo ukajishusha hadhi , kulikuwa na haja gani kutukana Watu wa Dar,Watu wa Dar mkae kwa kutulia hatutaki shobo maandazi - kujifanya mmepatia maisha kumbe mnateseka kila uchao na wala hamjui kesho yenu zaidi ya kutafuta pesa ya ugali, nauli ya daladala na Kodi ya chumba kimoja tena uswahilini
Kiongozi kama unahitaji na nia yakweli ipo, rudi kwenye kitabu chako Cha maisha angalia watu uliowahi kukutana nao kwenye maisha Yako na ukimuona Anza kumfuatilia ujue Yuko wapi, anafanya nn na hizo sifa zingine ulizotaja.Assalamualaikum Wana familia ya jf.
Nina ishi mbeya mjini sehemu inaitwa Airport ya zamani.
Natafuta mwanamke anayejitambua na mwenye uhitaji wa mume ili kujenga familia.
Sifa zake
Awe mwanamke mzuri na mwenye hofu ya Mungu, umri kuanzia miaka 23 na usizidi miaka 40.
Ukiwa singo mama basi usiwe na zaidi ya watoto watatu.
uwe na shuguli/ kazi ya kukuingizia kipato hata kama ni kidogo lakini sio mtu wa kukaa tu nyumbani 24/7 hapana.
Sibagui dini - sisi sote ni wa Mwenyezi Mungu kikubwa ni upendo wa kweli, kuheshimiana na ku- focus maisha kwa pamoja.
Sifa zangu.
Nina miaka 40. Nina mtoto mmoja.
Nina uhitaji wa kweli.
Maisha ya mbeya ni rahisi sana, hivyo pamoja na kuhakikisha kuwa ndani Kuna kila kitu - Mchele, unga, mafuta, sukari, gesi ya kupikia, n.k bado mke atakuwa na bajeti ya ziada sh. Laki moja na nusu (150,000/=) average cost of 5,000/= per day kama Kodi ya mezani na inaweza kuongezeka kulingana na context.
NB: Najua wapo watakao kuja na kejeli kuwa hiyo pesa haitoshi lakini akiwa mwanamke ambaye hana mtoto hiyo pesa kwa hapa Mbeya mjini ni kubwa sana na maisha yatakuwa poa. Akiwa singo mama na yeye akiwa na kazi ya kuingiza kupato japo kidogo still hiyo fedha itakuwa na maana sana.
Watu wa Dar mkae kwa kutulia hatutaki shobo maandazi - kujifanya mmepatia maisha kumbe mnateseka kila uchao na wala hamjui kesho yenu zaidi ya kutafuta pesa ya ugali, nauli ya daladala na Kodi ya chumba kimoja tena uswahilini.
MWANAMKE MWENYE NIA YA DHATI KARIBU SANA PM ,
NB : LOCATION - MBEYA MJINI, Kama upo very interested na upo nearby Mbeya ukija PM nyosha maelezo yako vizuri but sihitaji distance relationship.
Pia uwe ready kupima UKIMWI pamoja nawe mara TATU.
π³ jamani usiwe mkali hivyo..,,wachumba wanasoma comments zako mkuuSija mu-attack mtu but I spoke the reality.
We kama una shobo na watu wa Dar endelea but always I am black and white.
Sema hapa umeandika kwa makasiriko sana mkuu, kulikuwa na haja gani kuwakebehi Watu wa Dar,Watu wa Dar mkae kwa kutulia hatutaki shobo maandazi - kujifanya mmepatia maisha kumbe mnateseka kila uchao na wala hamjui kesho yenu zaidi ya kutafuta pesa ya ugali, nauli ya daladala na Kodi ya chumba kimoja tena uswahilini.