Natafuta mwanamke wa kuoa

npo ndan ya super rojas🤣 sjawah fka uko kwaio nkifka stand nakwambia ni gani aaaaiiiii 😂😂
Ok sawa karibu mke wangu mpenzi. Njoo tujenge familia. Maisha ndio haya haya hakuna maisha mengine.

Ukifika mwanjelwa au kabwe nistue nije chap kukufuata
 
Ok sawa karibu mke wangu mpenzi. Njoo tujenge familia. Maisha ndio haya haya hakuna maisha mengine.

Ukifika mwanjelwa au kabwe nistue nije chap kukufuata
😂😂😂Oooyaaaa wana jamvi ebu anzeni kuimba basi ile ngoma ya janjaroo

Dada uyoooooo..........


Malizieni verse io
 
Kupata mwanamke ni rahis sana sikuhiz lakin kupata mwanamke Bora ni kitu kigumu mno kwenye kizazi hiki,sio Kila mwanamke ni mke na sio Kila mwanamke n wa kubanjuka nae
UKo sahihi mia.
 
Kuna mwanamke hapa ana hizo sifa lakn hana mtoto nipo nae hapa kigoma
 
Aisee hata Mimi nimeshindwa kumuelewa. Yani yupo na Mimi, lakini bado anazunguka kwenye nyuzi za wanaotafuta wake.

mchumba nafasi yangu ni ipi sasa? Au ndio unataka kunichezea? 🤷🤦
Subiri nafanya mchujo, lakini wewe tatizo ni single faza na kaburi la mshangazi sijaliona
 
Sijaelewa hapo kupima ukimwi mara tatu
Means utampima mara ya kwanza baada ya miezi mitatu utampima tena na baada ya miezi mitatu utampima tena
Means mahusiano mtaanza baada ya miezi 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…