Awe ni mkristo wa dhehebu lolote au muislamu,mimi binafsi ni mkristo Nina miaka 43,nipo hapa Tanzania natafuta single mama yoyote ambaye anahitaji mtu wa kumfariji na kujenga familia stable, pia asiwe mpenda vileo ,pombe bangi au sigara. Awe pia mtu aneyejishughulisha katika kazi zenye heshima au ujasiriamali wa aina yoyote ule.awe tuu ni mtz wa kabila lolote. Mimi sio tajiri ,Wala sio fukara kabisa
kkama utakuwa interested karibu pm ila uwe tayari kupima afya pia, natanguliza shukrani zangu za dhati
kkama utakuwa interested karibu pm ila uwe tayari kupima afya pia, natanguliza shukrani zangu za dhati