Hapo ndipo ulipofeli.pia asiwe mpenda vileo ,pombe bangi au sigara.awe pia mtu aneyejishughulisha katika kazi zenye heshima au ujasiriamali wa aina yoyote ule.
Ukimpata kati ya wale wanaouza karanga, vipande vya mihogo na nazi utakuwa umepata mke kipenzi, utanikumbuka kwa ushauri huu.Awe ni mkristo wa dhehebu lolote au muislamu,mimi binafsi ni mkristo Nina miaka 43,nipo hapa Tanzania natafuta single mama yoyote ambaye anahitaji mtu wa
Kumfariji na kujenga familia stable.pia asiwe mpenda vileo ,pombe bangi au sigara.awe pia mtu aneyejishughulisha katika kazi zenye heshima au ujasiriamali wa aina yoyote ule.awe tuu ni mtz wa kabila lolote .mimi sio tajiri ,Wala sio fukara kabisa.kama utakuwa interested karibu pm ila uwe tayari kupima afya pia,natanguliza shukrani zangu za dhati
Akioa kwa sababu ya huruma zaidi atakuwa amejichanganya zaidi maana sio wote wa design hiyo huwa na upendo wa dhati, wengine hukubali ili kujikinga mvua....akipata anakuwa zuwena cha woooteeeUkimpata kati ya wale wanaouza karanga, vipande vya mihogo na nazi utakuwa umepata mke kipenzi, utanikumbuka kwa ushauri huu.
Kila la kheri π€Awe ni mkristo wa dhehebu lolote au muislamu,mimi binafsi ni mkristo Nina miaka 43,nipo hapa Tanzania natafuta single mama yoyote ambaye anahitaji mtu wa
Kumfariji na kujenga familia stable.pia asiwe mpenda vileo ,pombe bangi au sigara.awe pia mtu aneyejishughulisha katika kazi zenye heshima au ujasiriamali wa aina yoyote ule.awe tuu ni mtz wa kabila lolote .mimi sio tajiri ,Wala sio fukara kabisa.kama utakuwa interested karibu pm ila uwe tayari kupima afya pia,natanguliza shukrani zangu za dhati
Mumy ili uwe single maza tunafanyeje sasa ππAnataka single mama, mimi sio
Kua single mama sio ndoto yanguπMumy ili uwe single maza tunafanyeje sasa ππ
πππ sawa mumy,,,vinginevyo tungeyajenga πππKua single mama sio ndoto yanguπ
Yule brown sugar anasemaje kwaniπππ sawa mumy,,,vinginevyo tungeyajenga πππ
Mumy,,,kala mikausho mikali hatar yaanYule brown sugar anasemaje kwani