Natafuta mwanamke wa kushea nae mume

Natafuta mwanamke wa kushea nae mume

Mimi ni mwanamke nimeolewa Nina mtoto mmja,kutokana na changamoto zangu za kiafya nahitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuwa mke mwenza;uwe na vigezo vifuatavyo
1.ukwasi,uwe pesa ya kujimudu kimaisha.
2.uwe tayari kupima afya
3.uwe na angalau miaka 33 na kuendelea
4.uwe ni mtu unayejiheshimu na kumcha Mungu,usiwe mlevi
5.usiwe mgovi
Dunia inakwenda kasi sana.
 
Mimi ni mwanamke nimeolewa Nina mtoto mmja,kutokana na changamoto zangu za kiafya nahitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuwa mke mwenza;uwe na vigezo vifuatavyo
1.ukwasi,uwe pesa ya kujimudu kimaisha.
2.uwe tayari kupima afya
3.uwe na angalau miaka 33 na kuendelea
4.uwe ni mtu unayejiheshimu na kumcha Mungu,usiwe mlevi
5.usiwe mgovi
Aisee..kwenye dunia hii hii?

Hakika speed ya sasa ktk maisha ya binadamu ni ya 240speed kwenye kona
 
Mimi ni mwanamke nimeolewa Nina mtoto mmja,kutokana na changamoto zangu za kiafya nahitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuwa mke mwenza;uwe na vigezo vifuatavyo
1.ukwasi,uwe pesa ya kujimudu kimaisha.
2.uwe tayari kupima afya
3.uwe na angalau miaka 33 na kuendelea
4.uwe ni mtu unayejiheshimu na kumcha Mungu,usiwe mlevi
5.usiwe mgovi

Mbona Hili tatizo alimaliza Mumeo? Alishatafuta huyo Ila vigez to havifanani Na vyako
 
Mumeo anasemaje hapo?
Mimi ni mwanamke nimeolewa Nina mtoto mmja,kutokana na changamoto zangu za kiafya nahitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuwa mke mwenza;uwe na vigezo vifuatavyo
1.ukwasi,uwe pesa ya kujimudu kimaisha.
2.uwe tayari kupima afya
3.uwe na angalau miaka 33 na kuendelea
4.uwe ni mtu unayejiheshimu na kumcha Mungu,usiwe mlevi
5.usiwe mgovi
 
Mwambie tu mume wako aongeze mke na yule mwanamke anayetoka nae kwa sasa pamoja na misunderstanding zenu mridhie tu awe mke mwenza. Akiwa official atakuheshimu. Believe me jirani yangu
 
Hii imenikumbusha dada mmoja baada ya majukumu kumzidia (Mtumishi Serikalini) mume akawa hapati muda mwingi wa kuhudumiwa na mkewe, ikabidi mwanamke amtafutie mumewe mke mdogo (mama wa nyumbani) ili yeye awapo busy basi majukumu yote ayamalize mke mdogo. (Wote ni waislamu).
Mume nae karidhia katwaa jiko.
 
Mimi ni mwanamke nimeolewa Nina mtoto mmja,kutokana na changamoto zangu za kiafya nahitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuwa mke mwenza;uwe na vigezo vifuatavyo
1.ukwasi,uwe pesa ya kujimudu kimaisha.
2.uwe tayari kupima afya
3.uwe na angalau miaka 33 na kuendelea
4.uwe ni mtu unayejiheshimu na kumcha Mungu,usiwe mlevi
5.usiwe mgovi
Hongera sana dada
Inaonekana dada wa watu na mumewe wanapenda familia/watoto na wabarikiwa mmoja tu na amesema anachangamoto za kiafya. Hajataja hizo changamoto ila inawezekana anaona kuwa mumewe hapati haki yake vya kutosha.
Uamuzi mzuri sana huo dada wa kumtafutia Mumeo kwani huwezi jua ukimuacha atakuletea wa sampuli gani?
 
Hii imenikumbusha dada mmoja baada ya majukumu kumzidia (Mtumishi Serikalini) mume akawa hapati muda mwingi wa kuhudumiwa na mkewe, ikabidi mwanamke amtafutie mumewe mke mdogo (mama wa nyumbani) ili yeye awapo busy basi majukumu yote ayamalize mke mdogo. (Wote ni waislamu).
Mume nae karidhia katwaa jiko.
Si bure huyo mke ana mchepuko hakuna mwanamke wa kufanya upuuzi huo.
 
Daaa wewe dada pepo inakusubiri, wewe ni mwanamke wa pekee sana. Unampenda na kumjali sana mmeo, and you are one in a billion. Ungekuwa mke wangu ningekupa heshima na ningekupenda mpaka uchukie, yaan daaaaaah, nina changamoto km ya mumeo ila mm nimezuiliwa kuoa and nachepuka ovyo naamini kwenye kuchepuka natumia hela nyingi mpka standard ya maisha inashuka
Hapa wanawake niwaambie tu umaskini wa familia husababishwa na wanaume kuchepuka suppose anachepuka mara mbili kwa wiki na kila mchepuko mmoja akitumia hel kwa kujibna sana ni elf 50 kwa maana kwa wiki anatumia laki na kwa mwezi anatumia laki nne hapo bado za kuhonga.fikiria kama ameoa aana yake hawezitumia hela kiasi hicho coz mwanamke naye atakiwa anaingiza hela ndani pia risk ya magonjwa ni kubwa sana huko nje
 
Back
Top Bottom