Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia inakwenda kasi sana.Mimi ni mwanamke nimeolewa Nina mtoto mmja,kutokana na changamoto zangu za kiafya nahitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuwa mke mwenza;uwe na vigezo vifuatavyo
1.ukwasi,uwe pesa ya kujimudu kimaisha.
2.uwe tayari kupima afya
3.uwe na angalau miaka 33 na kuendelea
4.uwe ni mtu unayejiheshimu na kumcha Mungu,usiwe mlevi
5.usiwe mgovi
Aisee..kwenye dunia hii hii?Mimi ni mwanamke nimeolewa Nina mtoto mmja,kutokana na changamoto zangu za kiafya nahitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuwa mke mwenza;uwe na vigezo vifuatavyo
1.ukwasi,uwe pesa ya kujimudu kimaisha.
2.uwe tayari kupima afya
3.uwe na angalau miaka 33 na kuendelea
4.uwe ni mtu unayejiheshimu na kumcha Mungu,usiwe mlevi
5.usiwe mgovi
Mimi ni mwanamke nimeolewa Nina mtoto mmja,kutokana na changamoto zangu za kiafya nahitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuwa mke mwenza;uwe na vigezo vifuatavyo
1.ukwasi,uwe pesa ya kujimudu kimaisha.
2.uwe tayari kupima afya
3.uwe na angalau miaka 33 na kuendelea
4.uwe ni mtu unayejiheshimu na kumcha Mungu,usiwe mlevi
5.usiwe mgovi
1.ukwasi,uwe pesa ya kujimudu kimaisha.
Mimi ni mwanamke nimeolewa Nina mtoto mmja,kutokana na changamoto zangu za kiafya nahitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuwa mke mwenza;uwe na vigezo vifuatavyo
1.ukwasi,uwe pesa ya kujimudu kimaisha.
2.uwe tayari kupima afya
3.uwe na angalau miaka 33 na kuendelea
4.uwe ni mtu unayejiheshimu na kumcha Mungu,usiwe mlevi
5.usiwe mgovi
Mweehhhhh 🤣🤣🤣Ina maana papuchi yako nayo inachangamoto za ki Afya ama wewe na mmeo mnatafuta tu ka "mserereko?"
Hongera sana dadaMimi ni mwanamke nimeolewa Nina mtoto mmja,kutokana na changamoto zangu za kiafya nahitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuwa mke mwenza;uwe na vigezo vifuatavyo
1.ukwasi,uwe pesa ya kujimudu kimaisha.
2.uwe tayari kupima afya
3.uwe na angalau miaka 33 na kuendelea
4.uwe ni mtu unayejiheshimu na kumcha Mungu,usiwe mlevi
5.usiwe mgovi
Si bure huyo mke ana mchepuko hakuna mwanamke wa kufanya upuuzi huo.Hii imenikumbusha dada mmoja baada ya majukumu kumzidia (Mtumishi Serikalini) mume akawa hapati muda mwingi wa kuhudumiwa na mkewe, ikabidi mwanamke amtafutie mumewe mke mdogo (mama wa nyumbani) ili yeye awapo busy basi majukumu yote ayamalize mke mdogo. (Wote ni waislamu).
Mume nae karidhia katwaa jiko.
MmmhSi bure huyo mke ana mchepuko hakuna mwanamke wa kufanya upuuzi huo.