Natafuta mwanamke wa kushea nae mume

Mungu akuponye haraka uyarudie majukumu yako ya kindoa
 

kwaiyo ukioa uyo mwingine ndo utaacha kuchepuka ???unafikiri taama huwa inaisha ama?? kama ulioa ili usichepuke mbona unachepuka??
kuoa wake wengi hakutakufanya uache uzinzi kama uzinzi ni tabia yako ndoa za mitara hazisaidii chochote katika kukuridhisha wewe kwa sababu kama umetamani leo huyu kesho utataka mwingine na mwingine na mwingine zaidi

Ndoa za mitara hazina faida yoyote katika jamii badala yake ndo inaleta madhara sana na haswa kwa watoto watakao zaliwa


Sasa hivi hutaona madhara ila nakuhakikishia itakapotokea mmoja wenu ameaga dunia ndio utajua athari hasi za ndoa za mitara
Kama unataka kurogwa na wanawake ama watoto wako warogwe nenda oa huyo mchepukoo

Sema wanaume wengi hawaangaliagi kesho ya familia yake anaangalia leo hivo vidudu vyenu visivyo na akili ya kuwaza mbali vinawaza kula mbususa ipo siku vitawaponza

Na kukumbusha ukiendekeza njururu hiyo utakuja uuwawe na wanawake
 
Wewe ni mwanamke bila shaka, ndo mana unasema hivo. Ungekuwa mwanaue ungbilewa kirhisisana
 
Kuna matatizo ya mgongo sikuhizi wanawake wengi wakijifungua hupata hizo shida
 

Jumlisha Na wengine mume alionao nje
 
Wewe ni mwanamke bila shaka, ndo mana unasema hivo. Ungekuwa mwanaue ungbilewa kirhisisana

Kibaya zaidi wajane ni wengi kuliko wagane

Mnawaachia mizigo tu wake zenu kwa kuendekeza ufuksa
Watoto wanateseka kisa wewe hujisikii aibu na huruma
Kama umelelewa na wazazi wote wawili huwezi elewa hili waulize waliolelewa na mzazi mmoja haswa mama wanajua shida walizopitia
Tamaa zako na raha zako zinakuja watesa watoto wasio na hatia shame on you
 
Kwa ajili ya '3 sum' , au?
 
Akaachika zen waziri wa H2O akaoa.
 
we sasa ata ukihalalishiwa mke wa pili

tyr hulka yako ni kicheche utachepuka tu.
 
Ukiweka ubinafsi pembeni utaachana na haya mawazo.
Wanawake wengi wamejawa ubinafsi wa kuwaza kuwa vinavyoenda kule ilitakiwa viwe vyangu na watoto wangu.
Ila yeye akikuchomekea hapo mtoto anaona sawa tu.
Hata ukijua amechomekea anataka uwahudumie wote sawa.
Bila polygamy familia nyingi zisingekuwepo.
Yawezekana hata yako.
Shukuru kwa Hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…