kirikuu.com
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 461
- 526
Je wajua kuwa mchele hauwi wali mpaka upikwe!!!?Pole bhana... Kuhusu huyo Daby ... inamaana unataka kunambia siku zote ulikuwa hujui kuwa Daby ndo Abdul Nondo???
Basi kama ulikuwa hujui ndo hivyo tena... alijaribu kujiteka ikashindikana, polisi wameamua kumteka ili asijiteke tena...
Lahaullah! Sikuwa na taarifa hiyo....babu naomba sapoti yako na bibi kesho tuandamane mpaka kwa Mambosasa ili kumkomboa! [emoji134] [emoji134]Pole bhana... Kuhusu huyo Daby ... inamaana unataka kunambia siku zote ulikuwa hujui kuwa Daby ndo Abdul Nondo???
Basi kama ulikuwa hujui ndo hivyo tena... alijaribu kujiteka ikashindikana, polisi wameamua kumteka ili asijiteke tena...
Najua mpunga hauwi mchele kabla haujakobolewa...Je wajua kuwa mchele hauwi wali mpaka upikwe!!!?
Ulishamtaarifu Da Mange kuhusu hili swala???Lahaullah! Sikuwa na taarifa hiyo....babu naomba sapoti yako na bibi kesho tuandamane mpaka kwa Mambosasa ili kumkomboa! [emoji134] [emoji134]
Ndo alichokosea kunijibu maana kaukimbilia mchele badala ya mpunga na kabla mpunga haujakobolewa yeye kajijibu bila kujua kuna mpunga kabla ya mchele tena upembuliwe kisha upikwe.Najua mpunga hauwi mchele kabla haujakobolewa...
Ngoja nikamnong'oneze ili anisaidie kuhamasisha watu tutakaoandamana nao [emoji12]Ulishamtaarifu Da Mange kuhusu hili swala???
Umekumbuka kunigongea LIKE au umependa tu kavukavu?Nimependa hilo jina la operesheni [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Umemtaja mke wa mtu hapo[emoji1] [emoji1] ,jamaa atakuotesha mshipa shauri yakoAmani iwe Pamoja Nanyi!
Navutiwa sana na Jinsi Aspirin alivo na sky eclat , Smart911 alivyo na Mahondaw na pia wengine wengi ambao siwezi kuzijua couple zao!
Kwa kuvutiwa huko nami nimeona ni vema na ni jambo la kumpendeza Mungu ikiwa nami nitapata mwenzangu kupitia humu JF!
Maswala ya Elimu tusiulizane sana (Kwa aliye Tayari), Mimi elimu yoyote utayohitaji ipoo (Mpaka ya dini)😀😀!!
WASIFU WANGU
Below 27
Tall
Rangi Maji ya kunde
Mchangamfu
Mtani pia
Msikivu
Hii ni top 5 List ya ambao kweli wananivutia kwa kiasi fulani kutokana na michango yao ilioenda shule!
Mzigua90
Demiss
Nalendwa
Joanah
Thad
Nipo tayari kuwa na yeyote ilimradi tu awe anajua kutoa company at our free time!
Then ningefurahi zaidi kama amenizidi umri kidogo!
Naamini uzi huu hautoenda bure!.....Ukinielewa PM is there for you!
Stay blessed!
TheMason!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] una 50yrs + nn?Nimetamani kweli kuwa kapo wako sema umri changamotoo [emoji22]
NenoWanawake wa Jf ndio hao hao wa mtaani ..... Mkuu hebu acha uzege uwafuate hao wa mtaani unaowaona kwa macho. Mitandao hii ni ubatili mtupu!!!!
no commentHali yangu ni hii jiraniView attachment 720689
Mi sina usinikoseshe bahati mkuuUliowataja wote wana pair za kimyakimya
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaap chibonge kwa basmart
Nenda chumba cha ukaguzi utakuta maelezo yoteWee mzigua jamanii unantisha ujue nini bwanaa hebu nambie mwenzio lakiniiii[emoji19] babu anasemaje kwanii???
Akaa.Age is just a number...usiache bahati hiyo ikupite hivi hivi
[emoji23][emoji23][emoji23]Pole bhana... Kuhusu huyo Daby ... inamaana unataka kunambia siku zote ulikuwa hujui kuwa Daby ndo Abdul Nondo???
Basi kama ulikuwa hujui ndo hivyo tena... alijaribu kujiteka ikashindikana, polisi wameamua kumteka ili asijiteke tena...