Natafuta mwanamke wa kutengeneza nae couple JF

Natafuta mwanamke wa kutengeneza nae couple JF

Pole bhana... Kuhusu huyo Daby ... inamaana unataka kunambia siku zote ulikuwa hujui kuwa Daby ndo Abdul Nondo???

Basi kama ulikuwa hujui ndo hivyo tena... alijaribu kujiteka ikashindikana, polisi wameamua kumteka ili asijiteke tena...
Je wajua kuwa mchele hauwi wali mpaka upikwe!!!?
 
Pole bhana... Kuhusu huyo Daby ... inamaana unataka kunambia siku zote ulikuwa hujui kuwa Daby ndo Abdul Nondo???

Basi kama ulikuwa hujui ndo hivyo tena... alijaribu kujiteka ikashindikana, polisi wameamua kumteka ili asijiteke tena...
Lahaullah! Sikuwa na taarifa hiyo....babu naomba sapoti yako na bibi kesho tuandamane mpaka kwa Mambosasa ili kumkomboa! [emoji134] [emoji134]
 
Najua mpunga hauwi mchele kabla haujakobolewa...
Ndo alichokosea kunijibu maana kaukimbilia mchele badala ya mpunga na kabla mpunga haujakobolewa yeye kajijibu bila kujua kuna mpunga kabla ya mchele tena upembuliwe kisha upikwe.
 
Amani iwe Pamoja Nanyi!

Navutiwa sana na Jinsi Aspirin alivo na sky eclat , Smart911 alivyo na Mahondaw na pia wengine wengi ambao siwezi kuzijua couple zao!

Kwa kuvutiwa huko nami nimeona ni vema na ni jambo la kumpendeza Mungu ikiwa nami nitapata mwenzangu kupitia humu JF!

Maswala ya Elimu tusiulizane sana (Kwa aliye Tayari), Mimi elimu yoyote utayohitaji ipoo (Mpaka ya dini)😀😀!!

WASIFU WANGU

Below 27
Tall
Rangi Maji ya kunde
Mchangamfu
Mtani pia
Msikivu


Hii ni top 5 List ya ambao kweli wananivutia kwa kiasi fulani kutokana na michango yao ilioenda shule!
Mzigua90
Demiss
Nalendwa
Joanah
Thad


Nipo tayari kuwa na yeyote ilimradi tu awe anajua kutoa company at our free time!
Then ningefurahi zaidi kama amenizidi umri kidogo!

Naamini uzi huu hautoenda bure!.....Ukinielewa PM is there for you!

Stay blessed!

TheMason!
Umemtaja mke wa mtu hapo[emoji1] [emoji1] ,jamaa atakuotesha mshipa shauri yako
 
Pole bhana... Kuhusu huyo Daby ... inamaana unataka kunambia siku zote ulikuwa hujui kuwa Daby ndo Abdul Nondo???

Basi kama ulikuwa hujui ndo hivyo tena... alijaribu kujiteka ikashindikana, polisi wameamua kumteka ili asijiteke tena...
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom