Natafuta mwanamke wa kuzaa nae nitunze mtoto tu kuoa siwezi sitaki utumwa

Natafuta mwanamke wa kuzaa nae nitunze mtoto tu kuoa siwezi sitaki utumwa

Mnh sikulaumu, sisi as society ndio tunajenga mabomu kama haya.

Sina uhakika ila utakua umezaliwa kutoka broken home, wazazi wako wangekulea kwenye familia ya upendo, usingefikiria hayo.
No ni dizaini ya mwanamke niliempata ameniathiri sana nafsi imeingia nyongo kabisa mfano mtu ambae ni degree holder kiburi ,jeuri,mtu wa kujihesabia haki,hajui kakosea aombe msamaha yamkini anaweza kusema" Basi nisamehe"I HATE llove nataka nizae tu yatosha nitawatunza watoto wanitambue mm baba yao basi Mungu anisamehe
 
Beba mimba mkuu kwa mashariti hayo atakaekuzalia kweli utampenda? Unapenda mtoto na sio mama yake? Eti kufatana? Kama huna upendo siku ya kulala nae hisia utazitoa wapi?

Uko rude sana hata mungu hawezi kupitisha maombi yako.

Una uhakika wewe una uwezo wa kumpa mwanamke mimba?
Isipoingia mara ya kwanza si itabidi mfatane mjaribu tena? Na isipoingia tena na tena unafanyeje?
Sijui mtoa mada kazaliwa siku gani .... Looooo!
 
Beba mimba mkuu kwa mashariti hayo atakaekuzalia kweli utampenda? Unapenda mtoto na sio mama yake? Eti kufatana? Kama huna upendo siku ya kulala nae hisia utazitoa wapi?

Uko rude sana hata mungu hawezi kupitisha maombi yako.

Una uhakika wewe una uwezo wa kumpa mwanamke mimba?
Isipoingia mara ya kwanza si itabidi mfatane mjaribu tena? Na isipoingia tena na tena unafanyeje?
Labda alimaanisha insemination...
 
Sifa
age 21 hadi 32
Mrefu ,white kidogo awe na umbo namba 8,
Awe anafanya kazi muajiriwa au mfanyabiashara
Sifa zangu mimi
Age 28,mrefu futi 6,chocklet colour sio maji ya kunde sio mweusi,muajiriwa wizara nyeti,na mjasiriamali naelekea ndoto ya kua mkulima mkubwa,ni mtu wa mazoezi ndio my best friend(my body shape is my best friend)
NB;Nipo tayari kumtunza mtoto wangu ila sitaki habari za kufuatana fuatana mara sijui mume wangu sijui mke wangu huo utumwa siwezi naomba walioko serious njoo pm nipo serious
mkuu ,UMEFANIKIWA
 
No ni dizaini ya mwanamke niliempata ameniathiri sana nafsi imeingia nyongo kabisa mfano mtu ambae ni degree holder kiburi ,jeuri,mtu wa kujihesabia haki,hajui kakosea aombe msamaha yamkini anaweza kusema" Basi nisamehe"I HATE llove nataka nizae tu yatosha nitawatunza watoto wanitambue mm baba yao basi Mungu anisamehe
Kwa hiyo kisa ni mwanamke mmoja..sikia jipe muda wa kujiponya maumivu na mapito unayopitia kuliko hicho unachotaka kukifanya...imagine ukifanikiwa kumzalisha huyo mwanamke halafu azaliwe mtoto wa kike na yeye afanyiwe hicho unachotaka kukifanya utajisikiaje...[emoji58]

sent from paradise
 
No ni dizaini ya mwanamke niliempata ameniathiri sana nafsi imeingia nyongo kabisa mfano mtu ambae ni degree holder kiburi ,jeuri,mtu wa kujihesabia haki,hajui kakosea aombe msamaha yamkini anaweza kusema" Basi nisamehe"I HATE llove nataka nizae tu yatosha nitawatunza watoto wanitambue mm baba yao basi Mungu anisamehe
Mwanamke mmoja tu amekubadili akili hivyo.
Endelea kutafuta wako wengi wanyenyekevu....usisahau kuwa mnyenyekevu pia
 
Semaga hivyo hivyo tu kwa kuwa hujampata wa kukutuliza. Kuna wanawake huwa hawaonjwi. Unaweza ukatiia mimba yako ukashanga na wewe umeng'ang'ania huko huko mawivu kibao...
 
Wadada Msiwe wepesi wakutoa maneno Mengi sana kwa Huyu Mdau, Mbona kuna Wadada humu Ndani walishakuja kutaka Mtu wakumpa Mimba tu basi na Maisha yaishia hapo. Mbona Hamkurushia maneno makali kiasi hicho...

Kwa hiyo hayo ni Mtazamo wake kwa hiyo Kama wewe huwezi basi kuna wengine wanatamani kuwa katika trend hiyo... Ebu Fikiria ni wangapi ni Single Parent humu Ndani? Je walipenda wawe Single Parent? Si Matokeo yaliyotokana na kutofanan Chemistry za Mahusiano?

Asilimia kubwa ya Wadada humu Ndani Mumewadisaapoint sana Wanaume Japo Wanahitaji Kuwa na Familia, vivyo hivyo kuna asilimia pia ya Wanaume wamekuwa disapointed na Wanawake hivyo never kuhukumu mtu kwa Mtazamo wako.

Hata kama Aliyemuumiza ni Mwanamke Mmoja lakini anayoyaona Mtaani kwa wengine pia yanaweza kumkatisha tamaa .

Kwa hiyo just Piece of advise Kama wewe Mdada huwezi Kuna Mdada mwingine somewhere anaililia hiyo kitu.. Kwa hiyo Usihukumu na kumrushia maneno Mabaya.
 
Mwanamke mmoja tu amekubadili akili hivyo.
Endelea kutafuta wako wengi wanyenyekevu....usisahau kuwa mnyenyekevu pia
Dada it is possible Mtu Mmoja akatoa hukumu ya walio salia. Ni wangapi Wadada mnakuwa disappointed baada ya kuumizwa na Mwanaume mmoja? Wangapi tunawakuta mtaani wanalaani kujiingiza kwenye Mapenzi na wengine wanageuka kuwa wachunaji wakujiuza kisa she was disappointed by one Man somewhere.. Kwa hiyo If it can happen to you ladies it can also happen to the other Side
 
Nenda nchi za duniani mf US uwekewe uterus ya bear halafu ufanyiwe in vitro fertilization utafurahia hapo unazaa mwenyewe no mwanamke wala nini mwenzio Elton John alipogundua kuwa hawezi kujiinvovu na wanawake alipigwa hiyo akazaa mwenyewe
hujanijuzaga haya mambo..ilikuwaje hata mtoto akapatikana?...
 
Vipi kama we nae ungezaliwa kwa njia hiyo unayohitaji
 
tafuta mdada mwenye vigezo uvitakavyo kisha fanya makubaliano naye kwamba akuuzie ova yake..kisha tafuta surrogate mother wa kubeba na kutunza hiyo fertilised ova hadi wakati wa kujifungua...ila hilo jambo sidhani linakubalika tanzania..itakubidi ukatafute huko nchi za ulaya
 
Back
Top Bottom