JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 476
- Thread starter
- #21
Uchungu kivipi tunatunza wote haina shida mbona mna mioyo migumu hamjali hisia za watu wadadaUtampata ambaye hana uchungu na mwanae kila la kheri mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchungu kivipi tunatunza wote haina shida mbona mna mioyo migumu hamjali hisia za watu wadadaUtampata ambaye hana uchungu na mwanae kila la kheri mkuu
No ni dizaini ya mwanamke niliempata ameniathiri sana nafsi imeingia nyongo kabisa mfano mtu ambae ni degree holder kiburi ,jeuri,mtu wa kujihesabia haki,hajui kakosea aombe msamaha yamkini anaweza kusema" Basi nisamehe"I HATE llove nataka nizae tu yatosha nitawatunza watoto wanitambue mm baba yao basi Mungu anisameheMnh sikulaumu, sisi as society ndio tunajenga mabomu kama haya.
Sina uhakika ila utakua umezaliwa kutoka broken home, wazazi wako wangekulea kwenye familia ya upendo, usingefikiria hayo.
Sijui mtoa mada kazaliwa siku gani .... Looooo!Beba mimba mkuu kwa mashariti hayo atakaekuzalia kweli utampenda? Unapenda mtoto na sio mama yake? Eti kufatana? Kama huna upendo siku ya kulala nae hisia utazitoa wapi?
Uko rude sana hata mungu hawezi kupitisha maombi yako.
Una uhakika wewe una uwezo wa kumpa mwanamke mimba?
Isipoingia mara ya kwanza si itabidi mfatane mjaribu tena? Na isipoingia tena na tena unafanyeje?
Sitaki biashara
Labda alimaanisha insemination...Beba mimba mkuu kwa mashariti hayo atakaekuzalia kweli utampenda? Unapenda mtoto na sio mama yake? Eti kufatana? Kama huna upendo siku ya kulala nae hisia utazitoa wapi?
Uko rude sana hata mungu hawezi kupitisha maombi yako.
Una uhakika wewe una uwezo wa kumpa mwanamke mimba?
Isipoingia mara ya kwanza si itabidi mfatane mjaribu tena? Na isipoingia tena na tena unafanyeje?
mkuu ,UMEFANIKIWASifa
age 21 hadi 32
Mrefu ,white kidogo awe na umbo namba 8,
Awe anafanya kazi muajiriwa au mfanyabiashara
Sifa zangu mimi
Age 28,mrefu futi 6,chocklet colour sio maji ya kunde sio mweusi,muajiriwa wizara nyeti,na mjasiriamali naelekea ndoto ya kua mkulima mkubwa,ni mtu wa mazoezi ndio my best friend(my body shape is my best friend)
NB;Nipo tayari kumtunza mtoto wangu ila sitaki habari za kufuatana fuatana mara sijui mume wangu sijui mke wangu huo utumwa siwezi naomba walioko serious njoo pm nipo serious
Kwa hiyo kisa ni mwanamke mmoja..sikia jipe muda wa kujiponya maumivu na mapito unayopitia kuliko hicho unachotaka kukifanya...imagine ukifanikiwa kumzalisha huyo mwanamke halafu azaliwe mtoto wa kike na yeye afanyiwe hicho unachotaka kukifanya utajisikiaje...[emoji58]No ni dizaini ya mwanamke niliempata ameniathiri sana nafsi imeingia nyongo kabisa mfano mtu ambae ni degree holder kiburi ,jeuri,mtu wa kujihesabia haki,hajui kakosea aombe msamaha yamkini anaweza kusema" Basi nisamehe"I HATE llove nataka nizae tu yatosha nitawatunza watoto wanitambue mm baba yao basi Mungu anisamehe
Mwanamke mmoja tu amekubadili akili hivyo.No ni dizaini ya mwanamke niliempata ameniathiri sana nafsi imeingia nyongo kabisa mfano mtu ambae ni degree holder kiburi ,jeuri,mtu wa kujihesabia haki,hajui kakosea aombe msamaha yamkini anaweza kusema" Basi nisamehe"I HATE llove nataka nizae tu yatosha nitawatunza watoto wanitambue mm baba yao basi Mungu anisamehe
Dada it is possible Mtu Mmoja akatoa hukumu ya walio salia. Ni wangapi Wadada mnakuwa disappointed baada ya kuumizwa na Mwanaume mmoja? Wangapi tunawakuta mtaani wanalaani kujiingiza kwenye Mapenzi na wengine wanageuka kuwa wachunaji wakujiuza kisa she was disappointed by one Man somewhere.. Kwa hiyo If it can happen to you ladies it can also happen to the other SideMwanamke mmoja tu amekubadili akili hivyo.
Endelea kutafuta wako wengi wanyenyekevu....usisahau kuwa mnyenyekevu pia
hujanijuzaga haya mambo..ilikuwaje hata mtoto akapatikana?...Nenda nchi za duniani mf US uwekewe uterus ya bear halafu ufanyiwe in vitro fertilization utafurahia hapo unazaa mwenyewe no mwanamke wala nini mwenzio Elton John alipogundua kuwa hawezi kujiinvovu na wanawake alipigwa hiyo akazaa mwenyewe
Siyo Marekani hata Humu Wapo na Mtaani Wapo kama wewe huwezi usimkatishe tamaa Mwenzio ....
mil 10 cash
poa tuVipi kama we nae ungezaliwa kwa njia hiyo unayohitaji