Sifa
age 21 hadi 32
Mrefu ,white kidogo awe na umbo namba 8,
Awe anafanya kazi muajiriwa au mfanyabiashara
Sifa zangu mimi
Age 28,mrefu futi 6,chocklet colour sio maji ya kunde sio mweusi,muajiriwa wizara nyeti,na mjasiriamali naelekea ndoto ya kua mkulima mkubwa,ni mtu wa mazoezi ndio my best friend(my body shape is my best friend)
NB;Nipo tayari kumtunza mtoto wangu na mama yake ila sitaki habari za kufuatana fuatana mara unarudi saa ngapi ?ullikua wapi? ,nitawasomesha watoto haina shida naomba walioko serious njoo pm nipo serious tuujaze ulimwengu