Hahahaaatafuta mdada mwenye vigezo uvitakavyo kisha fanya makubaliano naye kwamba akuuzie ova yake..kisha tafuta surrogate mother wa kubeba na kutunza hiyo fertilised ova hadi wakati wa kujifungua...ila hilo jambo sidhani linakubalika tanzania..itakubidi ukatafute huko nchi za ulaya
Toa mil30 nikuzalie nikupe mtoto wote wote kabisa[emoji39][emoji39][emoji13]mil 10 cash
ndivyo wanavyofanya wenzetu huko nchi za mbali..Hahahaaa
Nipo tayari ila ukidhi vigezo vyangu uwe mzuri tu na msafiToa mil30 nikuzalie nikupe mtoto wote wote kabisa[emoji39][emoji39][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Ila mie sio mweupe kama unavyoniona kwa avatar yng hapo vpNipo tayari ila ukidhi vigezo vyangu uwe mzuri tu na msafi
Kwa nini usimuwowe ili mumtunze vizuri mtototUchungu kivipi tunatunza wote haina shida mbona mna mioyo migumu hamjali hisia za watu wadada
Sasa na wewe utafanya ?ndivyo wanavyofanya wenzetu huko nchi za mbali..
aaah...mimi nihangaike na hivyo vishort cut wakati nikielewa njia sahihi kwa sababu gani?Sasa na wewe utafanya ?
Hata shetan anashangaaSijui mtoa mada kazaliwa siku gani .... Looooo!
Am looking for a man to have a child withNB;Nipo tayari kumtunza mtoto wangu na mama yake ila sitaki habari za kufuatana fuatana mara unarudi saa ngapi ?ullikua wapi? ,nitawasomesha watoto haina shida naomba walioko serious njoo pm nipo serious tuujaze ulimwengu
Am looking for a man to have a child withSifa
age 21 hadi 32
Mrefu ,white kidogo awe na umbo namba 8,
Awe anafanya kazi muajiriwa au mfanyabiashara
Sifa zangu mimi
Age 28,mrefu futi 6,chocklet colour sio maji ya kunde sio mweusi,muajiriwa wizara nyeti,na mjasiriamali naelekea ndoto ya kua mkulima mkubwa,ni mtu wa mazoezi ndio my best friend(my body shape is my best friend)
NB;Nipo tayari kumtunza mtoto wangu na mama yake ila sitaki habari za kufuatana fuatana mara unarudi saa ngapi ?ullikua wapi? ,nitawasomesha watoto haina shida naomba walioko serious njoo pm nipo serious tuujaze ulimwengu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata shetan anashangaa
[emoji23][emoji23][emoji23] Ila mie sio mweupe kama unavyoniona kwa avatar yng hapo vp
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni kweli maisha ndoa ni magumu na yanachangamoto lakini mtoto anaitaji malezi na upendo wa baba na mama watoto wanaolelewa na upande mmoja wanakuwaga na shida sana mara nyingi.Sifa
age 21 hadi 32
Mrefu ,white kidogo awe na umbo namba 8,
Awe anafanya kazi muajiriwa au mfanyabiashara
Sifa zangu mimi
Age 28,mrefu futi 6,chocklet colour sio maji ya kunde sio mweusi,muajiriwa wizara nyeti,na mjasiriamali naelekea ndoto ya kua mkulima mkubwa,ni mtu wa mazoezi ndio my best friend(my body shape is my best friend)
NB;Nipo tayari kumtunza mtoto wangu na mama yake ila sitaki habari za kufuatana fuatana mara unarudi saa ngapi ?ullikua wapi? ,nitawasomesha watoto haina shida naomba walioko serious njoo pm nipo serious tuujaze ulimwengu