Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Tafuta house galahhha basii,hata kufua????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta house galahhha basii,hata kufua????
tafuta house galahhha basii,hata kufua????
ni bora nitafute clothes galtafuta house gal
halafu wewe utakuwa na mimi,safi sananjoo nikupee huyu wangu ni babaa wa watoto Tayari.
NinavigezoHabari zenu wadau nimekuja kwenu mara nyingine rafiki nimepata sasa natafuta mwanaume ambae atakua baba wa famiilia ntampenda na kumlinda,sifa zangu umri 25,mkristo,kazi nafanya kazi ya kufulia watu nguo majumbani kwao.Mwanaume ninae mtaka awe na nia ya kuoa na mwenye mapenzi ya dhati anipende kama anavyo wapenda ndugu zake wa kike,sitaki mwanaume mwenye mfumo dume daima🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
mengine kuhusu mimi tafadhari in box
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
...........................................................................................................................................
Me nshapatana wewe unatafuta????????/
kwanini na wewe usipatwe??Me nshapata
Naona umeamua kuwaumbuaUzuri wa jf hapa wanaume watapiga bla bla ila huko pm sahivi wamejazana kama nyuki kwenye mzinga..... Mdada utawapata usijali
Upo sehem ganHabari zenu wadau,🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Nimekuja kwenu mara nyingine, rafiki nimepata sasa natafuta mwanaume ambae atakua baba wa famiilia nitampenda na kumlinda, sifa zangu umri 25, mkristo, kazi nafanya kazi ya kufulia watu nguo majumbani kwao.
Mwanaume ninae mtaka awe na nia ya kuoa na mwenye mapenzi ya dhati anipende kama anavyo wapenda ndugu zake wa kike, sitaki mwanaume mwenye mfumo dume daima
mengine kuhusu mimi tafadhari in box.
Bora umetoboa siri leo, haya endelea wakijaa nini kinatokeaUzuri wa jf hapa wanaume watapiga bla bla ila huko pm sahivi wamejazana kama nyuki kwenye mzinga..... Mdada utawapata usijali
Hii avator ndo wewe mwenyewe?Habari zenu wadau,🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Nimekuja kwenu mara nyingine, rafiki nimepata sasa natafuta mwanaume ambae atakua baba wa famiilia nitampenda na kumlinda, sifa zangu umri 25, mkristo, kazi nafanya kazi ya kufulia watu nguo majumbani kwao.
Mwanaume ninae mtaka awe na nia ya kuoa na mwenye mapenzi ya dhati anipende kama anavyo wapenda ndugu zake wa kike, sitaki mwanaume mwenye mfumo dume daima
mengine kuhusu mimi tafadhari in box.
Whatsapp 0754604567Habari zenu wadau,🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Nimekuja kwenu mara nyingine, rafiki nimepata sasa natafuta mwanaume ambae atakua baba wa famiilia nitampenda na kumlinda, sifa zangu umri 25, mkristo, kazi nafanya kazi ya kufulia watu nguo majumbani kwao.
Mwanaume ninae mtaka awe na nia ya kuoa na mwenye mapenzi ya dhati anipende kama anavyo wapenda ndugu zake wa kike, sitaki mwanaume mwenye mfumo dume daima
mengine kuhusu mimi tafadhari in box.