Nakuona BestieNaiwe kheri kwako Inshaa'Allah
Hahahahahah eeh banaNakuona Bestie
Wow..nmekosa hata cha kuandika, unaonekana mwema sana.kila la kher my dear Allah akupe hitaji la moyo wako
Mimi smart sanaa na sifa zote kasoro kigezo cha dini ni mkristu na siwezi kubadilisha dini ya imani yanguNatumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa
Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana
Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria
NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue
Karibun PM mume wangu mtarajiwa
Eeh bhana eeh!!! Mambo yamebadilika siku hizi wote tunatafutanaNatumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa
Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana
Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria
NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue
Karibun PM mume wangu mtarajiwa
Kwa hiyo hutaki fursa??Teh teh..Bro naona umedakwa..
Niazime degree yako basi nikidhi vigezoKwa hiyo hutaki fursa??
Kwahyo akimuomba mungu anaporomoshwa kutoka mbinguni,we bwana wako ulimpatajewe semana muombe Mungu Akupe mume sio mwanaume baadae aje kuwa mume wako,ukisema hivyo unamaana wadau waonje kwanza,hapa kuna waonjaji wengi kuliko waume
Elimu ya dini ya kiislamu ndiyo itamuwezesha kuingiza kipato cha kulea familia.hahahahahaaa.....ustaadhat wangu nikukumbushe kiti.
Mapenzi sio elmu mama.....mapenzi ni kupendana...
Angalau hata ungesema bs awe na elmu kias flan ya dini na Quran.....bs hapo ningeona unataka mwanaume ajuhai misingi ya ndoa na mapenzi ya mke na mume kwa kufata dini ya kiislam...
Laasivo utapata ambaye kakutaman tu na hajakupenda.
by the way mi ni muislam namalizia degree yangu hapa Muhimbili[emoji16]
Kila lakheri
Hapana. Wewe huna degree na yeye ni churaless. Hapo ngoma drooNiazime degree yako basi nikidhi vigezo