Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

Aisee, huu uzi nilichelewa kuuona. kila la kheri
 
Mwanasheria unatafta mume kama unavotafta kizipo cha peni kilichoanguka unajielewa kweli ww?
 
Natumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa

Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana


Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria


NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue

Karibun PM mume wangu mtarajiwa
Mimi smart sanaa na sifa zote kasoro kigezo cha dini ni mkristu na siwezi kubadilisha dini ya imani yangu
 
Natumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa

Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana


Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria


NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue

Karibun PM mume wangu mtarajiwa
Eeh bhana eeh!!! Mambo yamebadilika siku hizi wote tunatafutana
 
we semana muombe Mungu Akupe mume sio mwanaume baadae aje kuwa mume wako,ukisema hivyo unamaana wadau waonje kwanza,hapa kuna waonjaji wengi kuliko waume
Kwahyo akimuomba mungu anaporomoshwa kutoka mbinguni,we bwana wako ulimpataje
 
hahahahahaaa.....ustaadhat wangu nikukumbushe kiti.

Mapenzi sio elmu mama.....mapenzi ni kupendana...
Angalau hata ungesema bs awe na elmu kias flan ya dini na Quran.....bs hapo ningeona unataka mwanaume ajuhai misingi ya ndoa na mapenzi ya mke na mume kwa kufata dini ya kiislam...

Laasivo utapata ambaye kakutaman tu na hajakupenda.

by the way mi ni muislam namalizia degree yangu hapa Muhimbili[emoji16]

Kila lakheri
Elimu ya dini ya kiislamu ndiyo itamuwezesha kuingiza kipato cha kulea familia.
Dini ni chanzo cha umasikini kwa wajinga kama wewe
 
Back
Top Bottom