Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

Women of principal.

Yote juu ya yote nina mke. Vp uko tayari kuwa mathina?
 
Kwa kweli ww ni bahati mbaya sina sifa ka umri kameenda
 
Bandeko Balingi makambo te..umechemusha badili mfuniko wako wa rejeta.utapata tu ila na wewe ungeweka sifa zako humu ingependeza na pia dushe halinaga cha elimu ni kudumbukia tu ili mradi lisimame
 
Kama wewe ni mhaya hatutawezana kabisa maana hao wanajitia kujua kila kitu Ndo ukiongeza na u-lawyer sasa inakuwa too much.
Na Mimi nakupa sharti kama wewe siyo muhaya na utakubali kuacha dini yako ya kiislamu na kuwa mlokole original Niko tayari.

Nb Nina masters ya project management.
 
Naomba kujua unavaa brah size gani...[emoji39]
Nipo tayari kubadili dini kama mwenyezi Mungu atafanya kheri, basi mashallah huba alitokua haba.... tehteehhh
 
Wazeee wa fursa wameshatimba pm
Hapo wana advertise sera zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…