Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

Natumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa

Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana


Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria


NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue

Karibun PM mume wangu mtarajiwa
Kwa kweli ww ni bahati mbaya sina sifa ka umri kameenda
 
Natumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa

Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana


Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria


NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue

Karibun PM mume wangu mtarajiwa
Bandeko Balingi makambo te..umechemusha badili mfuniko wako wa rejeta.utapata tu ila na wewe ungeweka sifa zako humu ingependeza na pia dushe halinaga cha elimu ni kudumbukia tu ili mradi lisimame
 
Natumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa

Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana


Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria


NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue

Karibun PM mume wangu mtarajiwa
Kama wewe ni mhaya hatutawezana kabisa maana hao wanajitia kujua kila kitu Ndo ukiongeza na u-lawyer sasa inakuwa too much.
Na Mimi nakupa sharti kama wewe siyo muhaya na utakubali kuacha dini yako ya kiislamu na kuwa mlokole original Niko tayari.

Nb Nina masters ya project management.
 
Naomba kujua unavaa brah size gani...[emoji39]
Nipo tayari kubadili dini kama mwenyezi Mungu atafanya kheri, basi mashallah huba alitokua haba.... tehteehhh
 
Wazeee wa fursa wameshatimba pm
Hapo wana advertise sera zao
 
Back
Top Bottom