Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

Kazi IPO sasa si tunafunga tu ya Boman dini Mungu ni mmoja tu. Nipo tayari kama utanitafuta
 
we semana muombe Mungu Akupe mume sio mwanaume baadae aje kuwa mume wako,ukisema hivyo unamaana wadau waonje kwanza,hapa kuna waonjaji wengi kuliko waume
Haa haa haa haa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee nomaaa
 
Umri kwangu janga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…