Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

Mume mwema hutoka kwa bwana ila ww nashangaa umejaza masharti kibao ohooo awe na degree [emoji23] wewe unafikiri sote tukiwa wasomi nchi itasonga mbele??
 
Kati ya vigezo vyoote hivyo, kimoja tuu ndio kimeniangusha. Elimu yangu imeishia kwenye Sec za kata.

Daaahh tusio na Elimu tumetengwa ila mpaji Mungu tuu.

kila kheri bhanaa @ Fatiha89, Mrejesho unahitajika.
 
hahahahahaaa.....ustaadhat wangu nikukumbushe kiti.

Mapenzi sio elmu mama.....mapenzi ni kupendana...
Angalau hata ungesema bs awe na elmu kias flan ya dini na Quran.....bs hapo ningeona unataka mwanaume ajuhai misingi ya ndoa na mapenzi ya mke na mume kwa kufata dini ya kiislam...

Laasivo utapata ambaye kakutaman tu na hajakupenda.

by the way mi ni muislam namalizia degree yangu hapa Muhimbili[emoji16]

Kila lakheri
Swadakta mkuu...
 
Natumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa

Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana


Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria


NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue

Karibun PM mume wangu mtarajiwa
Naona unamtafuta msomi mwenzio,Sisi akina kayumba tukayumbie mbele kwa mbele...

Basi sawa..
 
Kila la heri na baraka shurti muislamu tena mwanasheria. Naye kama hajaridhika na uvaaji wako uko tayari kubadilika kimavazi?

Natumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa

Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana


Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria


NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue

Karibun PM mume wangu mtarajiwa
 
kwa uzo sifa unazotaja apo natumain wewe ni mzuri na una umbi zuri...otherwise utaendelea sana kua single
 
Back
Top Bottom