Wanaishingi miaka zaidi ya hiyo rafiki..akadunda nini? teh teh nimecheka sans
[emoji23][emoji23][emoji23]
oa huyo man hao ndo tunasikiaga kwenye tv mke mwemaWanaishingi miaka zaidi ya hiyo rafiki..
Nilishawahi kuwa na girl friend baba yake alikufa na UKIMWI akiwa darasa LA tatu Leo huyo Dada kamaliza chuo kikuu na yuko kazini mwaka Wa tano lakini mama yake yupo hai.
Nimesoma hapa hadi soda imenishida aisee..Ila natamani tufahamiane kiurafiki itatosha
Lakini antigents huonekanayes...mimi ni mfano hai...my viro load are undetected..kiasi kwamba nilipima juzi kazi dispensary wakaniambia sina virusi...nikachukua majibu huku nacheka...nadhani na kipimo chao kilikua kibovu..ndio maana wanasema test 3 times...if nimeenda na mtu si anajua niko okay...complicated
Labda kwa vipimo vya ELISALakini antigents huonekana
Lohhauwezi kuelewa...jaribu kuvaa viatu vyangu
Labda kwa vipimo vya ELISA
acha kejeli ngoma yaweza kumpata yeyote yule uwe unagonga au hugongi ....usijione upo bora zaidi na kuona kamwe ukimwi wameumbiwa wengine na wewe kamwe haitokaa itokeee kuupata ...ndugu kuwa makini na maneno ykoMtu kama mimi nayependa kupiga mbichi unanishauri ni dada yangu?mwaka wa 20 huu mm napiga kavu tu
Asiye na HIV ana nafasi ya kumsaidia mwenzi wake Kwa kumkumbusha kunywa dawaMwenye nayo of course, ni kunywa dawa kama unavyoshauriwa na kuacha ngono zembe.
Mtu kama mimi nayependa kupiga mbichi unanishauri ni dada yangu?mwaka wa 20 huu mm napiga kavu tu
Huyo mama was kambo alikuambukiza vipi virusi ilihali wote ni wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Inatokea sanaStory yako nzuri, ila nadoubt hapo unaposema mama wa kambo alikuambukiza kwa maksudi.
Inatokea sana
Kuna mama alifanya makusudi kumtuma boyfriend wake kutembea na mtoto wake wa kambo mpk akampa mimba na kumuambukiza
inauma sana!Hi guys ni matumaini yangu mko poa
Nimerudi tena hapa love connect,nataka kushare na wengi au wachache wenye kupenda maisha ya wengine
Kwa kipindi chote tokea nitoe tangazo hapa.Nimekuwa nikipata connection za watu wengi ambao wako -ve na ambao wako +ve
Nashukuru Mungu nimeweza kujisimamia,na kusimamia.Kuna wanaume walikuja kwa njia mbali mbali nili deal nao kwa namna ya wanavyokuja,wengine tuliishia kuchat tu maana aliekua anania alikua na subira na nilichukua takribani miezi 3 mpaka kuja kuonana
Wengi waliishia njiani,nilifanikiwa kupata wanaume 4 walio serious kwa dhamira zao lakini wawili walikua wana influence ya familia hawataki mkristo na mmoja hatukufanikisha wazazi wake walihitaji mwanamke wa kabila yake mmoja alisisitiza kuishi bila kuzaa maana alikua na watoto wawili.
Nilifanikiwa kupata wanaume 3 ambao walikuwa -ve na walikua tayari tuishi nilidhani ni uwongo na kujihakikishia tulienda kupima na nilijiridhisha walikua salama lakini kama awali nilitangulia nisingependa mtu aje kulia kwa ajili yangu hata kama aliamua yeye hivyo sikuwa na sababu ya kuendeleza mahusiano.
Pia nilipata wanaume 2 hawa walikua +ve ila hawakua tayari kushiriki mapenzi safe ili kutozalisha maambukizi mapya hivyo pia ilibidi tuishie tulipoishia nilichogundua watu wengi wanatatizo na watu wengi wamekata tamaa wengi wanasambaza virusi kwa makusudi inahitaji akili sana kupambanua mambo.
Kwangu mimi nimejifunza mengi maana nimejionea mengi lakini bado nadhani ninasafari ndefu ya kukamilisha ndoto zangu so nahitaji mtu wa kunyanyuka nae katika hali zote.
Kwa wale wenye tatizo kama yangu jitahidi kufanya selection at least upate mtu ambae anauelewa kuhusu VVU na awe na future bila kuangalia hayo unaweza kuishia kupata mambukizi mampya na lifetime stress wengi wetu tunakufa kwa stess na sio kirusi so watch out
Na wale mlio salama nawakumbusha play safe unaweza kuwa positive muda wowote onyesha upendo kwa victims muombe mungu sana
Mimi sikuzaliwa na ukimwi niliambukizwa na mama wa kambo kwa makusudi lakini nimesamehe na maisha yanaendelea na sihitaji kumuambukiza yeyote.
Asanteni
hapana...Kama nakujua vile, mama yako wa kambo (shombe sijui wa kijerumani) aliyekuambukiza alifariki mwaka jana, alikuambukiza kwa kukuuma na meno yake mkiwa mnapigana, baba akaoa mke mwingine mwaka jana huo huo, mama mpya ni kabinti kadogo kama wewe, na sasa wana katoto kadogo ka kike, baba hakuzaa na mama wa kambo, uliwahi kupata mchumba aliyekubali kukuoa japo yeye hajaambukizwa ila mama wa kambo alifanya figisu uchumba ukaisha, sasa hivi una mgogoro na baba kwa kuwa umehama kanisa katoliki
Yaani nioe mke alafu nisile kavu? Inataka moyoMwenye nayo of course, ni kunywa dawa kama unavyoshauriwa na kuacha ngono zembe.