Natafuta mwanaume H.I.V Positive mrejesho

akadunda nini? teh teh nimecheka sans
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaishingi miaka zaidi ya hiyo rafiki..
Nilishawahi kuwa na girl friend baba yake alikufa na UKIMWI akiwa darasa LA tatu Leo huyo Dada kamaliza chuo kikuu na yuko kazini mwaka Wa tano lakini mama yake yupo hai.
 
Wanaishingi miaka zaidi ya hiyo rafiki..
Nilishawahi kuwa na girl friend baba yake alikufa na UKIMWI akiwa darasa LA tatu Leo huyo Dada kamaliza chuo kikuu na yuko kazini mwaka Wa tano lakini mama yake yupo hai.
oa huyo man hao ndo tunasikiaga kwenye tv mke mwema
 
Lakini antigents huonekana
 
thebeliever

Baada ya miezi sita hivi ya jaribio la kupata mwenza umtakaye, umefanikisha nia yako?

Kama hujafanikiwa, utatumia njia hii kuendelea na zoezi la kupata mwenza ama utabadili mbinu?

Nikutakie kila la kheri
 
Mtu kama mimi nayependa kupiga mbichi unanishauri ni dada yangu?mwaka wa 20 huu mm napiga kavu tu
acha kejeli ngoma yaweza kumpata yeyote yule uwe unagonga au hugongi ....usijione upo bora zaidi na kuona kamwe ukimwi wameumbiwa wengine na wewe kamwe haitokaa itokeee kuupata ...ndugu kuwa makini na maneno yko

narudia tena acha kejeli ukimwi unaweza kumpata yeyote yule OMBA MUNGU TU AKUEPUSHIE NA JANGA KAMA HILO
 
Binafsi sitaki kukupa pole sababu wewe ni mwanamke jasiri sana, pia unayethamini wengine. Kwa roho hiyo na ujasiri ulionao naamini MUNGU ni muweza wa yote na ugonjwa wako unaenda kupona na utaleta mrejesho hapa hapa JF kuwa umepona.
MUNGU akutangulie na akupe nguvu.
 
Inatokea sana
Kuna mama alifanya makusudi kumtuma boyfriend wake kutembea na mtoto wake wa kambo mpk akampa mimba na kumuambukiza

Huyo mtoto wa Kambo kwani alibakwa? Si alipigwa mashine akijua anatembea na mchepuko wa mama wa kambo? Inabidi tuwe responsible kwa maamuzi yetu tusiwasingizie wengine.
 
inauma sana!
 
Kama nakujua vile, mama yako wa kambo (shombe sijui wa kijerumani) aliyekuambukiza alifariki mwaka jana, alikuambukiza kwa kukuuma na meno yake mkiwa mnapigana, baba akaoa mke mwingine mwaka jana huo huo, mama mpya ni kabinti kadogo kama wewe, na sasa wana katoto kadogo ka kike, baba hakuzaa na mama wa kambo, uliwahi kupata mchumba aliyekubali kukuoa japo yeye hajaambukizwa ila mama wa kambo alifanya figisu uchumba ukaisha, sasa hivi una mgogoro na baba kwa kuwa umehama kanisa katoliki
 
hapana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…