Natafuta mwanaume H.I.V Positive mrejesho

Natafuta mwanaume H.I.V Positive mrejesho

wadau..nikitaka kuelezea kila kitu sitafanya hata kazi zingine...najua wengine wanakejeli ila najua wapo wanaojifunza..niko kwa ajili ya kuwaelimisha wanaohitaji kujifunza kuhusu HIV..Kuna mdau anauliza ilikuaje nikaambukizwa na mama wa kambo...ni hivi nilianza kulelewa na mama wa kambo nikiwa dogo sana kama age of 6...mbaya zaidi alikua hatupendi,and baba hakua anatusikiliza that time even nyumba haikua na amani so baba hakuwa mtu wa kukaa home..ilienda mama akapata maambukizi hiyo ndio ilikua mbaya baba na mama hawakua na maelewano kabisa..nilikua na wadogo zangu 2 ambao walizaliwa negative..kutokana na migogoro ya home baba hakuwa akimuelewa mama..ilifikia hatua mbaya mama akawa anaumwa sisi ndio tunamuuhudumia..kuna siku alimwambia baba kama anamtenga atakufa na watoto wote...so alifanikiwa hilo alituchanja akatuambukiza...kwa akili za kitoto hatukujua kinachoendelea...alipofariki wadogo zangu walianza kuugua...tukapimwa and walikua positive..the story began...kuikweli hua sitamani kuikubuka hii story but nimeshare mjifunze...hapo nimeifaya fupi tu...kwenye family kuna issue nyingi ndugu zangu...kila wakati nawaambia ukimuona mtu positive msidhani kaikota kwa kupenda..No

jitathimini kama wewe ndio mimi unafanyaje?

umezaliwa mzima..leo niko hivi sio kwa kupenda nimeambukizawa makusudi...

mama yangu mzazi anaumia kiasi gani?

sometimes unakata tamaa..ila ukiangalia maisha ni yako unaamua kupambana

natamani nipate mtu atakae nionyesha nini maana ya mapenzi ninapokata tamaa..nataani nipate mtoto labda atanifariji napata na nani wengi ni waongo na wamekata tamaa..

ambao wanahitaji kuwa na mimi nawaonea huruma..

someone help..naandika hayo nikiwa na maauvu makubwa...yananiumiza
Pole.
 
Kama nakujua vile, mama yako wa kambo (shombe sijui wa kijerumani) aliyekuambukiza alifariki mwaka jana, alikuambukiza kwa kukuuma na meno yake mkiwa mnapigana, baba akaoa mke mwingine mwaka jana huo huo, mama mpya ni kabinti kadogo kama wewe, na sasa wana katoto kadogo ka kike, baba hakuzaa na mama wa kambo, uliwahi kupata mchumba aliyekubali kukuoa japo yeye hajaambukizwa ila mama wa kambo alifanya figisu uchumba ukaisha, sasa hivi una mgogoro na baba kwa kuwa umehama kanisa katoliki
Watu mnapenda sana kubahatishia maisha ya mtu! Hata kama unamjua kuna haja gani unaweka wazi kweny public platform kama hii!! Tanzania tuna shida sana!! Fala kweli!
 
Watu mnapenda sana kubahatishia maisha ya mtu! Hata kama unamjua kuna haja gani unaweka wazi kweny public platform kama hii!! Tanzania tuna shida sana!! Fala kweli!

Kuna jina limetajwa au location anayoishi imetwajwa mahali fisi wewe? Go to hell dog
 
Mungu ni mwaminifu endelea kumuomba na ajawahi kumuacha mtu nimekupenda tu kwa namuna ulivyo weza kujali maisha ya wengine na pia kwa namuna ambavyo umekua na msimamo wako nimependa pia hongera dadangu.
 
Zamani utotoni nilikuwa nikisikia mtu ana UKIMWI sikanyagi anapokanyaga, sigusi alichogusa, nitasimama mita 100 toka alipisimama, kila nikimuona nahisi kama ananitafuta kwahiyo akija uelekeo wangu lazima nikae mkao wa mbio nyingi, yani kama sio elimu ningeweza kumkimbia muathirika nikaingia ktk gari na nikafa.
Nalishukuru Kanisa Katoliki kwa semina za vijana zilinitoa tongotongo na kujitambua na kutambua wengine hasa waathirika.
 
wadau..nikitaka kuelezea kila kitu sitafanya hata kazi zingine...najua wengine wanakejeli ila najua wapo wanaojifunza..niko kwa ajili ya kuwaelimisha wanaohitaji kujifunza kuhusu HIV..Kuna mdau anauliza ilikuaje nikaambukizwa na mama wa kambo...ni hivi nilianza kulelewa na mama wa kambo nikiwa dogo sana kama age of 6...mbaya zaidi alikua hatupendi,and baba hakua anatusikiliza that time even nyumba haikua na amani so baba hakuwa mtu wa kukaa home..ilienda mama akapata maambukizi hiyo ndio ilikua mbaya baba na mama hawakua na maelewano kabisa..nilikua na wadogo zangu 2 ambao walizaliwa negative..kutokana na migogoro ya home baba hakuwa akimuelewa mama..ilifikia hatua mbaya mama akawa anaumwa sisi ndio tunamuuhudumia..kuna siku alimwambia baba kama anamtenga atakufa na watoto wote...so alifanikiwa hilo alituchanja akatuambukiza...kwa akili za kitoto hatukujua kinachoendelea...alipofariki wadogo zangu walianza kuugua...tukapimwa and walikua positive..the story began...kuikweli hua sitamani kuikubuka hii story but nimeshare mjifunze...hapo nimeifaya fupi tu...kwenye family kuna issue nyingi ndugu zangu...kila wakati nawaambia ukimuona mtu positive msidhani kaikota kwa kupenda..No

jitathimini kama wewe ndio mimi unafanyaje?

umezaliwa mzima..leo niko hivi sio kwa kupenda nimeambukizawa makusudi...

mama yangu mzazi anaumia kiasi gani?

sometimes unakata tamaa..ila ukiangalia maisha ni yako unaamua kupambana

natamani nipate mtu atakae nionyesha nini maana ya mapenzi ninapokata tamaa..nataani nipate mtoto labda atanifariji napata na nani wengi ni waongo na wamekata tamaa..

ambao wanahitaji kuwa na mimi nawaonea huruma..

someone help..naandika hayo nikiwa na maauvu makubwa...yananiumiza
Mungu atakupatia pumziko lako la moyo endelea kumuomba yeye
 
yes...mimi ni mfano hai...my viro load are undetected..kiasi kwamba nilipima juzi kazi dispensary wakaniambia sina virusi...nikachukua majibu huku nacheka...nadhani na kipimo chao kilikua kibovu..ndio maana wanasema test 3 times...if nimeenda na mtu si anajua niko okay...complicated
Hivi kwanini mnapenda kwenda kupima mkiwa na majibu yenu kichwani? Kwanini usihisi kile kipimo cha awali kilichokumbia you are +ve ndio kilikuwa kibovu. Hivi unajua hata hivyo vipimo vinacheki nini? It's simply antigens-antibody reaction and not the virus in specific.
Huwa nawashauri watu waliopimwa na kuambiwa they are +ve just live a stress free life then keep checking ur status regularly, don't be shocked one day to be told you are -ve coz what they check is simply ur antibody reaction.

Keep living a normal & happy life madame.
 
Hi guys ni matumaini yangu mko poa

Nimerudi tena hapa love connect,nataka kushare na wengi au wachache wenye kupenda maisha ya wengine

Kwa kipindi chote tokea nitoe tangazo hapa.Nimekuwa nikipata connection za watu wengi ambao wako -ve na ambao wako +ve

Nashukuru Mungu nimeweza kujisimamia,na kusimamia.Kuna wanaume walikuja kwa njia mbali mbali nili deal nao kwa namna ya wanavyokuja,wengine tuliishia kuchat tu maana aliekua anania alikua na subira na nilichukua takribani miezi 3 mpaka kuja kuonana

Wengi waliishia njiani,nilifanikiwa kupata wanaume 4 walio serious kwa dhamira zao lakini wawili walikua wana influence ya familia hawataki mkristo na mmoja hatukufanikisha wazazi wake walihitaji mwanamke wa kabila yake mmoja alisisitiza kuishi bila kuzaa maana alikua na watoto wawili.

Nilifanikiwa kupata wanaume 3 ambao walikuwa -ve na walikua tayari tuishi nilidhani ni uwongo na kujihakikishia tulienda kupima na nilijiridhisha walikua salama lakini kama awali nilitangulia nisingependa mtu aje kulia kwa ajili yangu hata kama aliamua yeye hivyo sikuwa na sababu ya kuendeleza mahusiano.

Pia nilipata wanaume 2 hawa walikua +ve ila hawakua tayari kushiriki mapenzi safe ili kutozalisha maambukizi mapya hivyo pia ilibidi tuishie tulipoishia nilichogundua watu wengi wanatatizo na watu wengi wamekata tamaa wengi wanasambaza virusi kwa makusudi inahitaji akili sana kupambanua mambo.

Kwangu mimi nimejifunza mengi maana nimejionea mengi lakini bado nadhani ninasafari ndefu ya kukamilisha ndoto zangu so nahitaji mtu wa kunyanyuka nae katika hali zote.

Kwa wale wenye tatizo kama yangu jitahidi kufanya selection at least upate mtu ambae anauelewa kuhusu VVU na awe na future bila kuangalia hayo unaweza kuishia kupata mambukizi mampya na lifetime stress wengi wetu tunakufa kwa stess na sio kirusi so watch out

Na wale mlio salama nawakumbusha play safe unaweza kuwa positive muda wowote onyesha upendo kwa victims muombe mungu sana

Mimi sikuzaliwa na ukimwi niliambukizwa na mama wa kambo kwa makusudi lakini nimesamehe na maisha yanaendelea na sihitaji kumuambukiza yeyote.

Asanteni
Kama umeandika unamaanisha, ubarikiwe zaid. Kama umeandika kwa dhihaka, ulaaniwe sana.

Nikpongeze sana.
 
Hi guys ni matumaini yangu mko poa

Nimerudi tena hapa love connect,nataka kushare na wengi au wachache wenye kupenda maisha ya wengine

Kwa kipindi chote tokea nitoe tangazo hapa.Nimekuwa nikipata connection za watu wengi ambao wako -ve na ambao wako +ve

Nashukuru Mungu nimeweza kujisimamia,na kusimamia.Kuna wanaume walikuja kwa njia mbali mbali nili deal nao kwa namna ya wanavyokuja,wengine tuliishia kuchat tu maana aliekua anania alikua na subira na nilichukua takribani miezi 3 mpaka kuja kuonana

Wengi waliishia njiani,nilifanikiwa kupata wanaume 4 walio serious kwa dhamira zao lakini wawili walikua wana influence ya familia hawataki mkristo na mmoja hatukufanikisha wazazi wake walihitaji mwanamke wa kabila yake mmoja alisisitiza kuishi bila kuzaa maana alikua na watoto wawili.

Nilifanikiwa kupata wanaume 3 ambao walikuwa -ve na walikua tayari tuishi nilidhani ni uwongo na kujihakikishia tulienda kupima na nilijiridhisha walikua salama lakini kama awali nilitangulia nisingependa mtu aje kulia kwa ajili yangu hata kama aliamua yeye hivyo sikuwa na sababu ya kuendeleza mahusiano.

Pia nilipata wanaume 2 hawa walikua +ve ila hawakua tayari kushiriki mapenzi safe ili kutozalisha maambukizi mapya hivyo pia ilibidi tuishie tulipoishia nilichogundua watu wengi wanatatizo na watu wengi wamekata tamaa wengi wanasambaza virusi kwa makusudi inahitaji akili sana kupambanua mambo.

Kwangu mimi nimejifunza mengi maana nimejionea mengi lakini bado nadhani ninasafari ndefu ya kukamilisha ndoto zangu so nahitaji mtu wa kunyanyuka nae katika hali zote.

Kwa wale wenye tatizo kama yangu jitahidi kufanya selection at least upate mtu ambae anauelewa kuhusu VVU na awe na future bila kuangalia hayo unaweza kuishia kupata mambukizi mampya na lifetime stress wengi wetu tunakufa kwa stess na sio kirusi so watch out

Na wale mlio salama nawakumbusha play safe unaweza kuwa positive muda wowote onyesha upendo kwa victims muombe mungu sana

Mimi sikuzaliwa na ukimwi niliambukizwa na mama wa kambo kwa makusudi lakini nimesamehe na maisha yanaendelea na sihitaji kumuambukiza yeyote.

Asanteni
Pole sana dada yangu
Nakuombea kwa Mungu

Pia ukipata muda njoo inbox kuna msaada nimekuandalia
 
Hivi kwanini mnapenda kwenda kupima mkiwa na majibu yenu kichwani? Kwanini usihisi kile kipimo cha awali kilichokumbia you are +ve ndio kilikuwa kibovu. Hivi unajua hata hivyo vipimo vinacheki nini? It's simply antigens-antibody reaction and not the virus in specific.
Huwa nawashauri watu waliopimwa na kuambiwa they are +ve just live a stress free life then keep checking ur status regularly, don't be shocked one day to be told you are -ve coz what they check is simply ur antibody reaction.

Keep living a normal & happy life madame.
Like for this dude.

UKIMWI ni state ya muda tu, umeongea jambo kubwa boss. Actually napenda kuwa na marafiki wanaohitaji upendo, smbdy to show them the other side of life.
 
Hi guys ni matumaini yangu mko poa

Nimerudi tena hapa love connect,nataka kushare na wengi au wachache wenye kupenda maisha ya wengine

Kwa kipindi chote tokea nitoe tangazo hapa.Nimekuwa nikipata connection za watu wengi ambao wako -ve na ambao wako +ve

Nashukuru Mungu nimeweza kujisimamia,na kusimamia.Kuna wanaume walikuja kwa njia mbali mbali nili deal nao kwa namna ya wanavyokuja,wengine tuliishia kuchat tu maana aliekua anania alikua na subira na nilichukua takribani miezi 3 mpaka kuja kuonana

Wengi waliishia njiani,nilifanikiwa kupata wanaume 4 walio serious kwa dhamira zao lakini wawili walikua wana influence ya familia hawataki mkristo na mmoja hatukufanikisha wazazi wake walihitaji mwanamke wa kabila yake mmoja alisisitiza kuishi bila kuzaa maana alikua na watoto wawili.

Nilifanikiwa kupata wanaume 3 ambao walikuwa -ve na walikua tayari tuishi nilidhani ni uwongo na kujihakikishia tulienda kupima na nilijiridhisha walikua salama lakini kama awali nilitangulia nisingependa mtu aje kulia kwa ajili yangu hata kama aliamua yeye hivyo sikuwa na sababu ya kuendeleza mahusiano.

Pia nilipata wanaume 2 hawa walikua +ve ila hawakua tayari kushiriki mapenzi safe ili kutozalisha maambukizi mapya hivyo pia ilibidi tuishie tulipoishia nilichogundua watu wengi wanatatizo na watu wengi wamekata tamaa wengi wanasambaza virusi kwa makusudi inahitaji akili sana kupambanua mambo.

Kwangu mimi nimejifunza mengi maana nimejionea mengi lakini bado nadhani ninasafari ndefu ya kukamilisha ndoto zangu so nahitaji mtu wa kunyanyuka nae katika hali zote.

Kwa wale wenye tatizo kama yangu jitahidi kufanya selection at least upate mtu ambae anauelewa kuhusu VVU na awe na future bila kuangalia hayo unaweza kuishia kupata mambukizi mampya na lifetime stress wengi wetu tunakufa kwa stess na sio kirusi so watch out

Na wale mlio salama nawakumbusha play safe unaweza kuwa positive muda wowote onyesha upendo kwa victims muombe mungu sana

Mimi sikuzaliwa na ukimwi niliambukizwa na mama wa kambo kwa makusudi lakini nimesamehe na maisha yanaendelea na sihitaji kumuambukiza yeyote.

Asanteni
Pole sana kwa masaibu haya (kama ni ya kweli). Endelea na moyo huo wa kujali wengne.

Hata hivo saivi watu wengi tunakufa kwa ajali za barabarani na magonjwa mengine kama kansa, hepatitis, bp, diabetes etc.
 
yes...mimi ni mfano hai...my viro load are undetected..kiasi kwamba nilipima juzi kazi dispensary wakaniambia sina virusi...nikachukua majibu huku nacheka...nadhani na kipimo chao kilikua kibovu..ndio maana wanasema test 3 times...if nimeenda na mtu si anajua niko okay...complicated
Duh inawezekana kweli.kuna mchuchu namfahamu huyu nahisi atakuwa kajaza mabasi kadhaa kama.sio fuso kwa uzinzi lakn ukikutana naye anadai kashapima yuko salama. Huwa namwangaliaga tu.
 
Pole sana mpendwa Mungu akupe haja ya moyo wako na azidi kukupigania.
 
Back
Top Bottom