Natafuta mwanaume ili aje awe mume

Natafuta mwanaume ili aje awe mume

cheusimangalami

Ningekuja huko @pm ila umri wng 22yrs,ila ni muajiriwa serikalini Na nnakipato kizuri tu
 
Last edited by a moderator:
cheusimangalami

Menibidi kunyamaza, yako kutafakaria,
Kwangu umejitokeza, mahaba kunitakia,
Kwa kweli umejikaza, vema kuniangalia,
Banati umeniweza, kuniamsha hisia.
 
Last edited by a moderator:
Duh mi mwnyw nmetoka kutoswa yan ningekupata
 
Cheusi Mangala usibadili mwendo huo mangala eee mangalaa ehh binti Afrikaaaaaaaa.......

Hua nina... kila ninaposikia weusi na upole wako kwa watu wa pembeniiii...

R.I.P TX MOSHI WILLIUM
 
Natafuta MWANAUME, Mungu akipenda tuwe mume na mke.
sifa.
-ajiamini, -umri 28-35, elimu kuanzia degree ya kwanza ila kama anajiamini hata form six inatosha, awe amejiajiri au ameajiliwa, dini awe mkristo.
sifa zangu
miaka 27, nina shahada ya kwanza, mwajiriwa.
aliye tayari aje pm kwa mazungumzo zaidi.

plz ni pm namba yako tuzungumze kama kweli upon serious
 
Back
Top Bottom