Natafuta mwanaume mwenye hali kama yangu

Nipo tiari njoo tuyajenge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanza hongera sana dada kujikubali mwenyewe hyo ni hatua moja kubwa sana maishan mwako na kwa ustraw wa afya yako ! barikiwa kwa kila kitu my dear ! umetupa funzo nkubwa sana aisee inauma sana

cc sherida
 
Hongera kwa kujikubali,jaribu kutembelea vituo vya ARV utawakuta vijana wengi pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…