babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,643
- 3,301
Nlianza mahusiano na mtu tukapima tulikuwa safe three year to come visa na vituko kila siku kisa kipya na mwanamke mpya nikaamua kuachana nae na kupima,ndio nikakutana na majibu haya,funzo ni kwamba ukeshe ukiomba maana waweza tulia mwenza wako akauleta
Sent using Jamii Forums mobile app
aise pole sana mrembo