Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Chura ipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaipoChura ipo?
😂😂au nimeelewa vibaya mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KwambaUngekuwa straight bana
Ha ha haaa.Vipi Wazanzibari tunaruhusiwa kuja yakhe??
Basi hutupati ng'ooo!Haipo
Unatafuta wakuchat nae mambo ganiKwamba
Ungeenda pm mkuuUnatafuta wakuchat nae mambo gani
Na wewe unazidi kulala lala ndugu yangu....Nilichelewa wapi mimi ona sasa mwenzangu anaenda kula vinono.
Poa mkuu ukiona hana mawazo usisite kuleta uzi tena tunausubiri.
Unatafuta wakuchat nae mambo gani
Ungekuwa straight bana
Mbavu zanguTafadhali wahi Pm haraka, nakuhakikishia hatutaishia kubadilishana mawazo tu, bali tunaweza badilishana na vingine pia.
Ni mimi mchartishaji bora wa mwaka 2018.
[emoji1318]Title inajieza, natafuta mwanaume wa kubadilishana mawazo ,umri 30_ 35 pm nitajibu, kama unapatikana Moro, dar, ni nzuri zaidi
Jamani kuchati si tunaweza kuchati hata mmoja akiwa marekani na mwingine akiwa tz? Au unahitaji zaidi ya kuchati?Title inajieza, natafuta mwanaume wa kubadilishana mawazo ,umri 30_ 35 pm nitajibu, kama unapatikana Moro, dar, ni nzuri zaidi