Natafuta mwanaume wa kuchart

Natafuta mwanaume wa kuchart

Wanaume wa dar mna ng'aza sharubu, angekua mkoa huyo angekuwa kasha tiwa
 
Hapo kigezo kikubwa ni awe mwanaume hivyo vingine ziada tu

Mbona hujani pm?
 
Title inajieza, natafuta mwanaume wa kubadilishana mawazo ,umri 30_ 35 pm nitajibu, kama unapatikana Moro, dar, ni nzuri zaidi
[emoji1318]
NAUNGA MKONO HOJA!!!!

[emoji1318][emoji1318][emoji1318][emoji1318]
 
Title inajieza, natafuta mwanaume wa kubadilishana mawazo ,umri 30_ 35 pm nitajibu, kama unapatikana Moro, dar, ni nzuri zaidi
Jamani kuchati si tunaweza kuchati hata mmoja akiwa marekani na mwingine akiwa tz? Au unahitaji zaidi ya kuchati?
 
Back
Top Bottom