Natafuta mwanaume wa kunioa 2024

Tangazo la kutafuta kazi hilo,maana kitakachokuweka kwa huyo mwanaume ni kazi yake ama kipato. Atakuwa siyo mume tena.
 
Sifa zote ninazotaka unazo. Ila tayari nilishafunga pingu za maisha.
Mungu akupe tarajio la moyo wako Kama hizi sifa nizakweli.
 
Kila la kheri
 
Mmm
 
Bado sauti haijatoka vizuri,ikitoka tu kigezo kitakuwa awe anapumua tu,muda bado tuendelee kuforce men,,
 
Sabato huwataki Kwa Nini KE!
 
Mungu akupatie hitaji la moyo wako.
All the best
 
Niko Tayari Serious, Nina gari 1, nyumba 2, Toyo 2, ni muajiriwa, Niko MPWEKE sana, niPM
 
kuwa na subira Usiwe na pupa. Mola kakuumba na sifa kedekede ukimwomba yeye atakusikia jiamini mama🙌🙂
 
Vipi Cutemambore ulifanikiwa kupata hili hitaji lako?
 
umejiwekea muda kabisa akuoe 2024 au sio
 
Olewa na aliyekutoa usichana wako
 
Olewa na aliyekutoa usichana wako
Ukiolewa wewe na aliyekutoa usichana inatosha, wengine waacha waishi maisha yao!
Ishi maisha yako, mwache aishi maisha yake, kuleteana katiba kwenye maisha ya mtu ambaye hata hujui amepitia yapi ni ushamba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…