Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
kwa hili tushawajulia ckuhiz mnaficha watoto wenu kwa bibi zao hatudanganyikiSina mtoto wala sijawah kuolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hili tushawajulia ckuhiz mnaficha watoto wenu kwa bibi zao hatudanganyikiSina mtoto wala sijawah kuolewa
Futa post haraka njoo inbox. Mali kabisa hii. Wasione wengineHabari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
sio kila mtu ataelewa 'simple detail'😂mshamba_hachekwi cheki hizi simple detail, hii ndo dating Sasa.
Wengi wata penda account detail 😂sio kila mtu ataelewa 'simple detail'😂
Sasa umalizie mahari unioe 🤣😂😂😂
Unaringa sana utanitesa weweSasa umalizie mahari unioe 🤣😂😂😂