Lakini bibie kaandika anatafuta mme wa kumuoa na sio mpenzi...
Unaonekana unataka kukimbia maisha fulani hivi, huyo mumeo hutadumu naye pindi utakaposimama kwa miguu yako!Kuolewa sio biashara au kazi,ni bora ukatulia ukawa na hakika na unachofanya!Anza kwa mahusiano ya kawaida. Kwa ushauri/msaada kuhusu maisha niandikie mtendahaki@gmail.comMimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
Lakini bibie kaandika anatafuta mme wa kumuoa na sio mpenzi...
daah.. yo intelligent.... umemjuajeHa ha ha new member karibu.
We una diploma ya nini?umeajiriwa?Mimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
samahan samahan kama lakin napenda kuzungumza ukwel kwa umr huo uliotaja n ngum kupata mwanaume asiye na familia,, yaan weng umr huwa wameoa na wana watoto labda uwe tayar kulea mtoto ambae siyo wako,, sikukatishi tamaa ila kuwa makini na yeyote utakayempata mchunguze kwa makini harafu ni bora kama na ww ungetaja miaka yakoMimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
Ha ha huwa inaandika yenyewe mkuudaah.. yo intelligent.... umemjuaje
Wanaume wapo wengi karibu ujichagulieMimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.