Natafuta mwanaume wa kunioa

Natafuta mwanaume wa kunioa

vigezo vyote ninavyo ila kabla sijaja huko PM uniambie hiyo diploma ni ya nini ili nijue nachukua mzigo wa aina gani lakini kama ni diploma ya mifugo na uvuvi kung'uta like nije fasta ukakae shambani kwetu tujenge familia
mzigo?sio kila post unachangia kama huba cha kuchangia si unyamaze??kwani ni lazma??kwa hizo akili zako wew ni mzigo sana
 
we uliona kweye hiyo post nimeandika mim ni mwanamke???think....
 
mzigo?sio kila post unachangia kama huba cha kuchangia si unyamaze??kwani ni lazma??kwa hizo akili zako wew ni mzigo sana
punguza jazba basi ulikuwa wapi siku zote naona uliompata kakuta kuna maji kakukimbia sasa unakuja kumalizia hasira kwetu.....nimeona huruma maana mi ni mzigo kweli ila kwa jinsi ulivyonijibu hata wewe hubebeki endelea kuuza kei tu..
 
Back
Top Bottom