Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashaka ya nini mkuu hizo ndo fursa zenyewe.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Sijui kwanini hua nina mashaka sana na hizi I'd mpya aiseeee......
Otherwise....
Mungu akufanyie wepesi katika hitaji la moyo wako
Huwezi kujua Mungu ametupangia nin karibu sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]"Nilikuwa naitafuta sana JF,nasikia watu wamepata waume kupitia "huu mtandao"
Nimtandao unao waleta watu karibu"
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Natamani kujua mpaka mda huu una PM ngapi
All the best...Mimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
Niko hapa ni pmMimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
Hayo ni maandalizi, hamuwezi kukutana leo na kuoana kesho. Hata anayeomba anajua kabisa kuna zaidi ya miezi 6 mbele ili afikie tamati ya lengo lakeHivi hao jamaa wanaoomba kupiemiwa walikuwa wamejipanga kuoa au wanamchukulia mwenzao loose ball?!!..