Natafuta mwanaume wa kunioa

Natafuta mwanaume wa kunioa

Sijui kwanini hua nina mashaka sana na hizi I'd mpya aiseeee......
Otherwise....
Mungu akufanyie wepesi katika hitaji la moyo wako
Mashaka ya nini mkuu hizo ndo fursa zenyewe.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Don't search.....let them discover u! Hii project ikiendelea enlarge ur heart! there are so many surprises and shocks in it!
 
  • Thanks
Reactions: MC7
new member on the hunt for the life companion all the best mama
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
All the best...
 
Mimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.

Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
Niko hapa ni pm
 
Unaweza kubadili kabila nikuunganishe na jamaa mmoja ana allergy na chagga!!
 
Ase manka huko Pm unapita njia gani au unapanda daladala la wapi maana mi sijawahi kufika[emoji1][emoji1]
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Nasikia kuna mushushu wa kike wengi wametandaa kwenye mitandao ya jamii.
 
Back
Top Bottom