mzigo?sio kila post unachangia kama huba cha kuchangia si unyamaze??kwani ni lazma??kwa hizo akili zako wew ni mzigo sanavigezo vyote ninavyo ila kabla sijaja huko PM uniambie hiyo diploma ni ya nini ili nijue nachukua mzigo wa aina gani lakini kama ni diploma ya mifugo na uvuvi kung'uta like nije fasta ukakae shambani kwetu tujenge familia
hiMimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
..Gosh!!If ur Not a Woman,what Are You??[emoji33]we uliona kweye hiyo post nimeandika mim ni mwanamke???think....
..sio Mwanamke Huyo [emoji23]sitafuti mke ila ningependa kukufaham, naruhusiwa kuja pm?
A MAN that needs to Be married..does this sound Less weird In Your head?!the opposite of that..
punguza jazba basi ulikuwa wapi siku zote naona uliompata kakuta kuna maji kakukimbia sasa unakuja kumalizia hasira kwetu.....nimeona huruma maana mi ni mzigo kweli ila kwa jinsi ulivyonijibu hata wewe hubebeki endelea kuuza kei tu..mzigo?sio kila post unachangia kama huba cha kuchangia si unyamaze??kwani ni lazma??kwa hizo akili zako wew ni mzigo sana