Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh njoo marekani kuna mzungu ana ndoto ya kutaka kuoa black africa
GOD FIRST [emoji1078]
Agness120 Una ushahidi wa hizo tuhuma kwa wanaume ?, toa mfano, Na nyie wanaume ambao hamjaoa acheni mizaha basiMungu akupatie hitaji lako nasi tutafata, maana wanaume waliyo serious na ndoa wamekuwa adimu sana!
Mungu akupatie hitaji lako nasi tutafata, maana wanaume waliyo serious na ndoa wamekuwa adimu sana!
serious na nini?Vp kwani ww upo serious???
Vrou van samaria give me bit of water to drink
Etiii?!!!Ungesubiri kukuche vzr dada.
serious na nini?
Hako kapicha pulofaili Ni ka wewe?Mungu akupatie hitaji lako nasi tutafata, maana wanaume waliyo serious na ndoa wamekuwa adimu sana!
Etiii?!!!
hahahaha
Mimi sijasema!Naww unatafuta?
Hapana, kuna shida?Hako kapicha pulofaili Ni ka wewe?
Hako kapicha pulofaili Ni ka wewe?
Hapana.... Nikihitaji na Mie n'taanzisha thread 😂 😂 😂Naww unatafuta?
Habari zenu wanandugu nina umri wa miaka 26 elimu Chuo kikuu nimeajiriwa katika kampuni.natafuta mwanaume alie serious na mahusiano ya kuelekea ndoa.Awe na Sifa zozote ila awe serious na mahusiano naomba ani pm kwa maelezo zaidi
Hapana.... Nikihitaji na Mie n'taanzisha thread [emoji23] [emoji23] [emoji23]