Natafuta mwanaume wa kuzaa na ikiwezekana kuishi naye


Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

 
Wadada elimu inawaongopea .rudi kwenye maandiko "Mungu alipomuumba Adam na Eva hakuweka usawa .hata ungepata mwanaume kutoka mbinguni kama utataka kuwa sawa na mumeo kwasababu ya elimu yako basi hiyo ndoa haitadumu
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 35, JE? Nipo Tayari, Niko Njombe, haule5@aol.com Tafadhali kama uko tayari basi tuwasiliane kwa hiyo E-mail. Ila sina elimu zaidi ya O-level.
 
wewe unataka mtu akupe ujauzito au uishi nae?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…