Natafuta mwanaume wa kuzaa na ikiwezekana kuishi naye

Natafuta mwanaume wa kuzaa na ikiwezekana kuishi naye

Jamani nawashukuru sana wana JF kwa comments zenu nzuri tu.
Nimepokea PM kama 5 hivi na namba za simu. Unfortunately JF imenirestrict ku-reply ama kutuma PM mpaka niwe nimepost at least posts 5. Na kwa kuwa mimi ndio nimejiunga leo bado sina posts za kutosha, maybe with time.
Kwa walionitumia namba zao, I will do my best to call them. Bahati mbaya siwezi kuweka ya kwangu hapa hadharani.

Asanteni sana na ofcourse, feedback lazima mtapata.

Usiku mwema nyote.

N
hongera na je ukimpata asisyetaka kuzaa lakini yupo tayari kukuoa utakuwa tayari?na je mtoto wako ni wa kiume?
 
hongera na je ukimpata asisyetaka kuzaa lakini yupo tayari kukuoa utakuwa tayari?na je mtoto wako ni wa kiume au wa kike?:bange:
 
Hi karibu kwangu nami natafuta mwanamke kama ww, tafadhali tuwasiliane kwa karibu sana serious
 
hongera na je ukimpata asisyetaka kuzaa lakini yupo tayari kukuoa utakuwa tayari?na je mtoto wako ni wa kiume?

Ndugu yangu Matema,
Mtoto wangu ni wa kike na ningependelea zaidi wa kuzaa naye kuliko wa kuishi naye ndo maana nimeweka kuzaa kwanza halafu kuishi ikiwezekana.
Kwangu kuishi pamoja sio uissue!
Asante
 
Ndugu yangu Matema,
Mtoto wangu ni wa kike na ningependelea zaidi wa kuzaa naye kuliko wa kuishi naye ndo maana nimeweka kuzaa kwanza halafu kuishi ikiwezekana.
Kwangu kuishi pamoja sio uissue!
Asante
Mhh!hapa siweki wino,ngoja nipite tuu lol!
 
Ndugu yangu Matema,
Mtoto wangu ni wa kike na ningependelea zaidi wa kuzaa naye kuliko wa kuishi naye ndo maana nimeweka kuzaa kwanza halafu kuishi ikiwezekana.
Kwangu kuishi pamoja sio uissue!
Asante
Sasa kama ni mwanaume wa kuzaa nae tu kiwango cha umri kinaingiaje hapo?au mwenye miaka 25 hawezi kuingiza mbegu?Ebu hapo kwenye umri badilisha na uweke kuanzia miaka18-35,then ktk kundi hili utapata mbegu bora "hybrid"na utapata toto la ukweli sana ushikapo mimba,hilo kundi ulitakalo wewe limeshapitwa na wakati kimwana ni sawa na acre1 ya mahindi kupata debe 3 kwa kutumia common seeds lol!
U just use the hybrid seeds madame.
 
naona hili tena nipepo kama unatafuta mwanaume wa kuzaa naye tu na sikuishi naye unanipa maswali mengi sana uko utakubali kupima kwanza kabla ya kukutana? kama uko serious basi jaribu kutoa uwazi zaid zaidi ninaimani utapa isije ikawa unataka kusambaza ugonjwa kwa wenzako.
 
Mzuri ?? Nijiongeze Miaka sa ivi ..LOL

Sent from my BlackBerry Porsche using JamiiForums
 
Mimi niko under 32, vipi sina hiyo sifa ya kuishi na wewe, na kuzaa mtoto?
 
Jamboni wana JF,
Mimi ni mwanamke wa miaka 37. Niliolewa na kwa sasa tumeachana na mume wangu. Nina mtoto mmoja wa umri wa miaka 5. Ninaishi Dar na nafanya kazi Dar.
Kiwango changu cha elimu ni chuo kikuu.

Nahitaji mwanaume wa miaka kati ya 38-48 ambaye tuko serious na mwenye kuhitaji mwanamke wa kuzaa ama kuishi naye. Naomba msinitukane- I am serious.

Asanteni sana

Nawai Joseph


mm ningependa kuwa nawe ... ila age ni ndogo....!

Napita tu....!
 
naona hili tena nipepo kama unatafuta mwanaume wa kuzaa naye tu na sikuishi naye unanipa maswali mengi sana uko utakubali kupima kwanza kabla ya kukutana? kama uko serious basi jaribu kutoa uwazi zaid zaidi ninaimani utapa isije ikawa unataka kusambaza ugonjwa kwa wenzako.

Mwanaweje kupima UKIMWI LAZIMA kabla ya yote, yani we unazani mi naweza kubali kavu kavu?
Weee, kamwe haiwezekani! wataka nimuche mtoto wangu hana mama?
I am 101% clean. sina kirusi wala kaswende, wala fungus! upo hapo?

Karibu
 
Chema chajiuza ................................

siwashauri member kutafuta mke mtandaoni, mke mwema hajitangazi, tabia,uzuri wake hujitangaza................
 
pima ukimwi na magonjwa mengine ya kuambukiza, baada ya miezi mitatu pima tena, then kama bado mmekubaliana nenda zaa.
 
Jamboni wana JF,
Mimi ni mwanamke wa miaka 37. Niliolewa na kwa sasa tumeachana na mume wangu. Nina mtoto mmoja wa umri wa miaka 5. Ninaishi Dar na nafanya kazi Dar.
Kiwango changu cha elimu ni chuo kikuu.

Nahitaji mwanaume wa miaka kati ya 38-48 ambaye tuko serious na mwenye kuhitaji mwanamke wa kuzaa ama kuishi naye. Naomba msinitukane- I am serious.

Asanteni sana

Nawai Joseph

please, my contac is willykisumba@yahoo.com
 
Jamboni wana JF,
Mimi ni mwanamke wa miaka 37. Niliolewa na kwa sasa tumeachana na mume wangu. Nina mtoto mmoja wa umri wa miaka 5. Ninaishi Dar na nafanya kazi Dar.
Kiwango changu cha elimu ni chuo kikuu.

Nahitaji mwanaume wa miaka kati ya 38-48 ambaye tuko serious na mwenye kuhitaji mwanamke wa kuzaa ama kuishi naye. Naomba msinitukane- I am serious.

Asanteni sana

Nawai Joseph

Nitakua mariooo au???
 
Back
Top Bottom