Prince Jackson
Member
- Mar 9, 2012
- 22
- 1
Duuu! Kaaaziiii kweeli kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu kuishi pamoja sio uissue!
Jamboni wana JF,
Mimi ni mwanamke wa miaka 37. Niliolewa na kwa sasa tumeachana na mume wangu. Nina mtoto mmoja wa umri wa miaka 5. Ninaishi Dar na nafanya kazi Dar.
Kiwango changu cha elimu ni chuo kikuu.
Nahitaji mwanaume wa miaka kati ya 38-48 ambaye tuko serious na mwenye kuhitaji mwanamke wa kuzaa ama kuishi naye. Naomba msinitukane- I am serious.
Asanteni sana
Nawai Joseph
Mimi nipo tayari tuwasiliane
Yes, one of my options not CONDITIONS!kivipi? i thought it was one of your options..
Huyu msista tabia yake mbaya,au , mpaka anaingia jamvini live kutangaza,mbaya zaidi kutaka mwanaume wa kuzaa naye na sio kuishi naye.Duuu! Hayuko serious. jiangalie sana.analeta utani hapa Jamvini.[/QUOTE
Ndugu yangu Prince,
Wala usiwe na shaka nisharudiana na mume wangu na mambo ni sawa kabisa. We are back together and happy than ever.
Uwe na amani.
NJ
OK,
Uko mzuri kiasi gani kisura??
Na vipi kuhusu umbo (shape) yako ikoje??
Interest yako ni watoto zaidi kuliko ndoa, hao watoto watakaa kwako au kwa mwanaume??
Dear wana JF,
Thanks to all those that took time to write to me and those that commented to my post. I am glad to inform you all that hatimaye tumerudiana na mume wangu baada ya mazungumzo mengi sana. I am Sooooo happy pia namshukuru MUNGU maana mtoto wetu atakuwa na wazazi wote wawili, pia tunapanga kuongeza watoto wengine wawili.
Mbarikiwe sana nyote.
NJ
Jamboni wana JF,
Mimi ni mwanamke wa miaka 37. Niliolewa na kwa sasa tumeachana na mume wangu. Nina mtoto mmoja wa umri wa miaka 5. Ninaishi Dar na nafanya kazi Dar.
Kiwango changu cha elimu ni chuo kikuu.
Nahitaji mwanaume wa miaka kati ya 38-48 ambaye tuko serious na mwenye kuhitaji mwanamke wa kuzaa ama kuishi naye. Naomba msinitukane- I am serious.
Asanteni sana
Nawai Joseph
Jamani nawashukuru sana wana JF kwa comments zenu nzuri tu.
Nimepokea PM kama 5 hivi na namba za simu. Unfortunately JF imenirestrict ku-reply ama kutuma PM mpaka niwe nimepost at least posts 5. Na kwa kuwa mimi ndio nimejiunga leo bado sina posts za kutosha, maybe with time.
Kwa walionitumia namba zao, I will do my best to call them. Bahati mbaya siwezi kuweka ya kwangu hapa hadharani.
Asanteni sana na ofcourse, feedback lazima mtapata.
Usiku mwema nyote.
N
Jamboni wana JF,
Mimi ni mwanamke wa miaka 37. Niliolewa na kwa sasa tumeachana na mume wangu. Nina mtoto mmoja wa umri wa miaka 5. Ninaishi Dar na nafanya kazi Dar.
Kiwango changu cha elimu ni chuo kikuu.
Nahitaji mwanaume wa miaka kati ya 38-48 ambaye tuko serious na mwenye kuhitaji mwanamke wa kuzaa ama kuishi naye. Naomba msinitukane- I am serious.
Asanteni sana
Nawai Joseph