Natafuta mwanaume wa kuzaa na ikiwezekana kuishi naye

Natafuta mwanaume wa kuzaa na ikiwezekana kuishi naye

Huyu msista tabia yake mbaya,au , mpaka anaingia jamvini live kutangaza,mbaya zaidi kutaka mwanaume wa kuzaa naye na sio kuishi naye.Duuu! Hayuko serious. jiangalie sana.analeta utani hapa Jamvini.
 
Unaweza kunieleza sababu iliyofanya mkaachana na aliyekuwa mmeo? isije ikawa nikakwaa kisiki cha mpingo! kuoa ninataka lakini naogopa.
 
Jamboni wana JF,
Mimi ni mwanamke wa miaka 37. Niliolewa na kwa sasa tumeachana na mume wangu. Nina mtoto mmoja wa umri wa miaka 5. Ninaishi Dar na nafanya kazi Dar.
Kiwango changu cha elimu ni chuo kikuu.

Nahitaji mwanaume wa miaka kati ya 38-48 ambaye tuko serious na mwenye kuhitaji mwanamke wa kuzaa ama kuishi naye. Naomba msinitukane- I am serious.

Asanteni sana

Nawai Joseph

MM NINA MIAKA 31 JE UKO TAYARI KUZAA NA MIMI MANA NAM NAMTAKA MTOTO PIA CJAOA KAMA UKO OK NIANDIKIE. Wa Kinondoni.
 
Dear wana JF,
Thanks to all those that took time to write to me and those that commented to my post. I am glad to inform you all that hatimaye tumerudiana na mume wangu baada ya mazungumzo mengi sana. I am Sooooo happy pia namshukuru MUNGU maana mtoto wetu atakuwa na wazazi wote wawili, pia tunapanga kuongeza watoto wengine wawili.

Mbarikiwe sana nyote.

NJ
 
Huyu msista tabia yake mbaya,au , mpaka anaingia jamvini live kutangaza,mbaya zaidi kutaka mwanaume wa kuzaa naye na sio kuishi naye.Duuu! Hayuko serious. jiangalie sana.analeta utani hapa Jamvini.[/QUOTE

Ndugu yangu Prince,
Wala usiwe na shaka nisharudiana na mume wangu na mambo ni sawa kabisa. We are back together and happy than ever.
Uwe na amani.

NJ
 
OK,
Uko mzuri kiasi gani kisura??
Na vipi kuhusu umbo (shape) yako ikoje??
Interest yako ni watoto zaidi kuliko ndoa, hao watoto watakaa kwako au kwa mwanaume??
 
OK,
Uko mzuri kiasi gani kisura??
Na vipi kuhusu umbo (shape) yako ikoje??
Interest yako ni watoto zaidi kuliko ndoa, hao watoto watakaa kwako au kwa mwanaume??

[MENTION]Shark,
[/MENTION]Angalia usifike bei tu...maswali yako yanaweza kumtoa nyoka pangoni
 
Dear wana JF,
Thanks to all those that took time to write to me and those that commented to my post. I am glad to inform you all that hatimaye tumerudiana na mume wangu baada ya mazungumzo mengi sana. I am Sooooo happy pia namshukuru MUNGU maana mtoto wetu atakuwa na wazazi wote wawili, pia tunapanga kuongeza watoto wengine wawili.

Mbarikiwe sana nyote.

NJ

hahahahahah we kiboko sasa mlikuwa mmeachana au mlipeana mapumziko........kila la heri
 
Nina wasiwasi na tabia za mtoa mada,
Possible hata ungenikubalia tusingedumu kwenye mahusiano.

Yaani kiji-bifu cha siku 2 tu tayari ushakimbilia mtandaoni kutafuta "replacer"

Nina uhakika 100% hako kabifu utakua ndie mwanzilishi.

Anyway, kila la heri kwenye 2nd chance yenu mliyopeana, hua inanoga sana 4 sure!!
 
Mmh shoga we kwani wanaume wanatafutwaga hivi. huko mtaani au kazini hakuna wanaume waliokuvutia ukajigonga kwao? au huna mvuto?
 
Jamboni wana JF,
Mimi ni mwanamke wa miaka 37. Niliolewa na kwa sasa tumeachana na mume wangu. Nina mtoto mmoja wa umri wa miaka 5. Ninaishi Dar na nafanya kazi Dar.
Kiwango changu cha elimu ni chuo kikuu.

Nahitaji mwanaume wa miaka kati ya 38-48 ambaye tuko serious na mwenye kuhitaji mwanamke wa kuzaa ama kuishi naye. Naomba msinitukane- I am serious.

Asanteni sana

Nawai Joseph

don get tired
 
Jamani nawashukuru sana wana JF kwa comments zenu nzuri tu.
Nimepokea PM kama 5 hivi na namba za simu. Unfortunately JF imenirestrict ku-reply ama kutuma PM mpaka niwe nimepost at least posts 5. Na kwa kuwa mimi ndio nimejiunga leo bado sina posts za kutosha, maybe with time.
Kwa walionitumia namba zao, I will do my best to call them. Bahati mbaya siwezi kuweka ya kwangu hapa hadharani.

Asanteni sana na ofcourse, feedback lazima mtapata.

Usiku mwema nyote.

N

Mungu akujali upate umpendae dada!
 
Vp mambo naomba tuwasiliane kwa email yangu cosebull83@yahoo.com hata mm natafuta mwanamke wa kutengeneza familia nae nipo serious
 
Jamboni wana JF,
Mimi ni mwanamke wa miaka 37. Niliolewa na kwa sasa tumeachana na mume wangu. Nina mtoto mmoja wa umri wa miaka 5. Ninaishi Dar na nafanya kazi Dar.
Kiwango changu cha elimu ni chuo kikuu.

Nahitaji mwanaume wa miaka kati ya 38-48 ambaye tuko serious na mwenye kuhitaji mwanamke wa kuzaa ama kuishi naye. Naomba msinitukane- I am serious.

Asanteni sana

Nawai Joseph


Nina 35 kama haujali ni-pm, tuone tunaanzia wapi.
 
Back
Top Bottom