Natafuta mwanaume wa kuzaa na ikiwezekana kuishi naye

Natafuta mwanaume wa kuzaa na ikiwezekana kuishi naye

Jamani nawashukuru sana wana JF kwa comments zenu nzuri tu.
Nimepokea PM kama 5 hivi na namba za simu. Unfortunately JF imenirestrict ku-reply ama kutuma PM mpaka niwe nimepost at least posts 5. Na kwa kuwa mimi ndio nimejiunga leo bado sina posts za kutosha, maybe with time.
Kwa walionitumia namba zao, I will do my best to call them. Bahati mbaya siwezi kuweka ya kwangu hapa hadharani.

Asanteni sana na ofcourse, feedback lazima mtapata.

Usiku mwema nyote.

N

kwahiyo umeshamaliza kushortlist, mimi niache kukuPM? Maana uzi huu ndio nauona saa hii. Nilikuwa natafuta nafasi kama hii muda mrefu. Mimi shida yangu ni mtoto tu. Hayo mambo mengine tutajuana mbele kwa mbele
 
Dada yangu kuna vitu najiuliza kwa faida ya wengine.

1.0 Kwa nini uliachika?

2.0 Mtoto huyo uliyezaa unaishi naye au yupo kwa baba yake?

3.0 Lengo ni kuolewa au kuzaa au vyote kwa pamoja?

4.0 Ungependelea huyo jamaa awe na vigezo vipi kwa maana ya dini, elimu, kazi/kipato n.k

Ushauri kama hukuwa guest wa muda mrefu wa kutosha ni bora ukawa makini na mahusiano ya kwenye mtandao.

Usiku mwema Nawai

Losambo mkuu wangu, maswali ni mengi kuliko majibu. Nawai anatafuta majibu wewe unaongeza maswali. Nawai ana maswali, ndio maana yuko JF akitafuta majibu. Kuna jamaa hapa JF anaitwa 'hutaki unaacha'
 
Jamboni wana JF,
Mimi ni mwanamke wa miaka 37. Niliolewa na kwa sasa tumeachana na mume wangu. Nina mtoto mmoja wa umri wa miaka 5. Ninaishi Dar na nafanya kazi Dar.
Kiwango changu cha elimu ni chuo kikuu.

Nahitaji mwanaume wa miaka kati ya 38-48 ambaye tuko serious na mwenye kuhitaji mwanamke wa kuzaa ama kuishi naye. Naomba msinitukane- I am serious.

Asanteni sana

Nawai Joseph

Am I entitled to know the reason behind your broken marriage?
 
Losambo mkuu wangu, maswali ni mengi kuliko majibu. Nawai anatafuta majibu wewe unaongeza maswali. Nawai ana maswali, ndio maana yuko JF akitafuta majibu. Kuna jamaa hapa JF anaitwa 'hutaki unaacha'

Mkuu ni miongoni mwa ambao PM zao hazijajibiwa nini?
 
Losambo mkuu wangu, maswali ni mengi kuliko majibu. Nawai anatafuta majibu wewe unaongeza maswali. Nawai ana maswali, ndio maana yuko JF akitafuta majibu. Kuna jamaa hapa JF anaitwa 'hutaki unaacha'

MwalimuZawadi kama ndiyo unapenda shortcut namna hiyo wanafunzi watafeli.

Maswali hayo ni ya msingi sana.
 
Naomba upost picha yako ili nijue tukizaa tutatoa kiumbe cha dizaini gani!!!
 
Kila la heri Nawai...ukifanikiwa rudi hapa jamvini kuufahamisha umma wa JF....Ila ungeweka vigezo vingine uvitakavyo zaidi ya umri ingekusaidia zaidi katika kupata ukitakacho.
 
elly ebu acha mambo yk w2 2ko srz,kwa nn mnapenda kuleta mzaha pacpohitajika?c uingie fun threat
 
Nawai dada yng kua makini kupokea PM co ishu,kua makini mno mm nili2ma post w2 waka ni PM mpk wngn nikakutana fc2fc na cjaona faida zaidi ya ulaghai,tk cr ma d.
 
Dada yangu kuna vitu najiuliza kwa faida ya wengine.

1.0 Kwa nini uliachika?

2.0 Mtoto huyo uliyezaa unaishi naye au yupo kwa baba yake?

3.0 Lengo ni kuolewa au kuzaa au vyote kwa pamoja?

4.0 Ungependelea huyo jamaa awe na vigezo vipi kwa maana ya dini, elimu, kazi/kipato n.k

Ushauri kama hukuwa guest wa muda mrefu wa kutosha ni bora ukawa makini na mahusiano ya kwenye mtandao.

Usiku mwema Nawai
Sasa maswali yote hayo ya nini? We jitose tu kaka yangu!
 
Jamboni wana JF,
Mimi ni mwanamke wa miaka 37. Niliolewa na kwa sasa tumeachana na mume wangu. Nina mtoto mmoja wa umri wa miaka 5. Ninaishi Dar na nafanya kazi Dar.
Kiwango changu cha elimu ni chuo kikuu.

Nahitaji mwanaume wa miaka kati ya 38-48 ambaye tuko serious na mwenye kuhitaji mwanamke wa kuzaa ama kuishi naye. Naomba msinitukane- I am serious.

Asanteni sana

Nawai Joseph

Ni pm tuongee vizuri hutajutia ila tu ntataka kujua kipato chako kabla ya yote.:bange:
 
Back
Top Bottom