Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Kweli wewe umechoka kama jina lako.Mtafute beberu,huyo hana hulka ya kutafuta watoto baada ya kutia mimba.
Mkuu huyo ni beberu au jogoo kazi zao kuzalisha tu hawajui habari za watoto wao, na watoto wakikua wanaliwa mzigo kama mama yao. Na huyu nae mkipata mtoto wa kike hamjuani ipo siku unaweza kula mwanao si unajua siku hizi vidingi vinajiita Uncle/Anko vinapenda visichana navyo visichana vinapenda vidingi fedha ma-uncle/anko.
 
kama naziona PM inbox yako itakavyojaa,madomo zege wakija huko kukwambia watakuoa kabisaaa hawataki wakuzalishe peke yake.
 
I will take this!!
 
Unatega eeh! Thubutu! Tena Arusha!! Umesahau ki2 k1 , mkataba unafanyika wapi? Km kwa loyer xawa.
 
huku jf wapo wapenda papuchi tu wanaume wa kupanga mambo sirias ni wachache kuwa makini
Out of topic muhusika kashasema hataki lolote isipokuwa apewe mimba, sasa wewe unataka wapange tena kitu amabacho si lengo lake?[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Mkipata vihela mna taabu nyie! Hamjuwi kuwa mnakiuka sheria ya mtoto? Ile ya kumfahamu baba yake mzazi na mama yake mzazi? Mtuondolee ubwege weñu humu!
 
Utakuwa tayari tukafanye makubaliano kwa mwanasheria ili baadae usije geuka na kuanza kudai matumizi?
Yaani hapa ndo utajua kuwa mwanamme hamiliki mtoto, zaidi ni mfumo dume tu.
 
Faida utakayopata ni kula papuchi kavu kavu .

Hayo mabao unayopiga punyeto kila siku ,kuna siku utalidai taulo watoto wako?
Aisee nimefurahishwa na the way ulivyo kuwa muwazi. Ni PM
 
Aende club au casno akachague atawapata weeengi, utazaaje MTT. Na kuacha? Ndo baadae unamla au analiwa na ndg .mjadara huu ufe
 
Jamaa ana mbinu za medani huyu.. hahaaaa
Kwanza kamshusha confidence, kisha katoa ushauri wa kujijengea confidence na kumfanya mdada aifuatilie ndoto yake (believing in her wishful thinking life). Mwisho kajipigia pasi ya goli mwenyewe kama zile enzi za Henry a.k.a Chogo wa Arsenal ile ya the dream team, anapokea pasi kisha anaupiga mpira kwa mbele kidogo anaanza kutimua mbio anakimbizana na beki kwenda kupiga bao. JF kuna mafundi wengi balaa..
 
tehe....tehe.....tehe.... nilikuwa kimeo zamani lakini kwa sasa mimi ni mtu mwingine kabisa huwezi amini nawasaidia wengi humu na huwa nawafuatilia nikiwapa ushauri sijawahi jiongeza hata kwa mmoja.
hivyo hofu ondoa endelea kushindana nishakuwa mkubwa sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…