figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Nimeshajibu hili suala[emoji57] [emoji57] [emoji57]Teh mimba hata kijana wa miaka 16 anakupa sa sijaelewa kigezo cha umri wkt we unashida na mtt
Hahahaha kama ni hivo aende sperm bank ili akapewe mbegu apandikizeAshasema akipata mimba kila mtu 50 zake hapo sidhan uyo mtoto atakua ukoo wako
Mi nimelenga umri...sijajua sifa ztazopatikana kwa mtoto atakaetokana na mbegu ya kuanzia miaka 28 mpka 50Nimeshajibu hili suala[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Mkuu, you must be a genius!IQ ni muhimu unaweza ukanasa kichaa ambaye kwa sasa yuko kwenye dawa usimtambue!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Weka sifa zako pia maana kuchafua ukoo wengine hatutaki[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Afu ni PM
Yeye anachotaka ni kugegedwa tu ili apate mtoto. Hakuna jambo lingine analotaka.huku jf wapo wapenda papuchi tu wanaume wa kupanga mambo sirias ni wachache kuwa makini
Anataka mbegu imwagwe nã dushe afurahie utam wa shahawa kama unavigezo wahi mkuuHahahaha kama ni hivo aende sperm bank ili akapewe mbegu apandikize
Au anatumia kigezo icho ili apate mume sababu mwanaume mwenye akili timamu anaipotezeaje damu yake
Mme wako hajapewa uwezo wa kukupa ujauzito?
Je huyo anayekupa mimba atanufaika vipi au mbegu zake anatoa bure?
Alafu ujue kuzaa na mtu then kumuachia mtoto kirahisi tu! Isn't easy like that
Mm nipo Arusha nitafute nitakupa watoto mapachaHabarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
Mbegu lazima nipate manufaa ya mazao huyu aseme anatafta mume ili aeleweke vizuri[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anataka mbegu imwagwe nã dushe afurahie utam wa shahawa kama unavigezo wahi mkuu
Dunia ya Leo wanaume wanapenda mteremko ww ona watakavyomiminika pm[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tafuta mbwa au jogoo. Nafikiri katika wanyama, hao wawili ndio hawana hulka ya kuangalia watoto wao
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
Ukiona hivyo ujue ameshachafukwa hataki jamDu.........!!!!!!!!!!!!! hyo kali ............unataka uingie kwenye orodha ya ma-single mothers...........