Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
Sasa aseme anatafuta Maryoo na si mwanaume. Real man hakuachii mwanawe aendeDunia ya Leo wanaume wanapenda mteremko ww ona watakavyomiminika pm[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niambie makapuku hjamboJovitha
Duh watu mna majibu makavu hatariTafuta mbwa au jogoo. Nafikiri katika wanyama, hao wawili ndio hawana hulka ya kuangalia watoto wao
Mimi apa nipo tayar 0745936497Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
Hii ni nyepesi saana hata hukuhitaji kuja hadi humu, si ni mbegu, za mtu mrefu, asiye na virusi tu?!! Pitapita street kwenu hapo, kwa vyovyote wakaskazini wengi ni warefu, kamata chizi aliyechizika haswa, jifanye kumlea, mpeleke hospitali kampime, akiwa salama mpe tunda hadi ukamate hiyo mimba. Ukimrudisha street we 50 zako naye zake kabisaaa, hatokuzingua hata akipona uchizi wake.Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume wa jf wananifurahishaWengine sisi huwa hatuachagi damu zetu zipotee kirahisi hivyo..so huezi nipangia masharti nisimuone mwanangu...ondoa sharti hilo tufanye kazi wiki mbili tu then utasimulia!
Akikupa nikopieplease utanipa feedback ukikamilisha hili
all the best
Wewe mwenyewe una umri gani usije ukawa bibi labda.Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Hii ni nyepesi saana hata hukuhitaji kuja hadi humu, si ni mbegu, za mtu mrefu, asiye na virusi tu?!! Pitapita street kwenu hapo, kwa vyovyote wakaskazini wengi ni warefu, kamata chizi aliyechizika haswa, jifanye kumlea, mpeleke hospitali kampime, akiwa salama mpe tunda hadi ukamate hiyo mimba. Ukimrudisha street we 50 zako naye zake kabisaaa, hatokuzingua hata akipona uchizi wake.
Hapo kutakua na sabb mkuu.. Hata wa kujilengesha tu umekosa?? Labda .. Ngoja wajeHabarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm