IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Sasa na wewe si ungeweka characteristics zako ili MTU afanye "informed" decision maana watu wanazifataga Ulaya kuliko hapo Arusha tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm