Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Sasa na wewe si ungeweka characteristics zako ili MTU afanye "informed" decision maana watu wanazifataga Ulaya kuliko hapo Arusha tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mmmmhhhh kweli dunia haina huruma...wacha niimbe tuu...Duniaaaaa[emoji350]
 
Kweli wewe umechoka kama jina lako.Mtafute beberu,huyo hana hulka ya kutafuta watoto baada ya kutia mimba.
Umenikumbusha mbali sana.
nishawahi kukutana na fursa kam hii huko Arusha miaka ya nyuma japokuwa masharti yalikuwa magumu zaidi ya hayo yako miss. Ila mambo baadae yalibadilika baada ya kumega tunda mara kadhaa, hivyo naamini hata hayo yako yatapungua ukimegwa vizuri.
 
Nitafue aisee
Ntakupa aina ya watoto naotoaga kwa picture kwanza uone.
Niko sombetini
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Njoo nikutifue,utampata Huyo mtoto
 
Huyo anayekupa mimba unamlipa nini? Maana inaonekana wewe unaangalia advantage upande wako tu?
Mkataba huo unaosema unaisha it means mtaandikishana kisheria au ni mkataba wa maneno tu?

Ukiweza kujibu hayo maswali vizuri then tutajua uko serious na unachosema.


Faida utakayopata ni kula papuchi kavu kavu .

Hayo mabao unayopiga punyeto kila siku ,kuna siku utalidai taulo watoto wako?
 
Sasa mi niko mbeya na vigezo ninavyo vipi nikutumie nauli..?
 
Nipo mimi ni PM
Tatizo lenu shida zikikaba huchelewi kutengua kauli!!! Unaanza kuulizia matumizi ya mtoto.
Unapenda mteremko. Sasa Mtoto wako hata ukimuhudimia utapungukiwa na kipi... Au unataka jina asiandike lako kilinic??hataree
 
Niko tanga ila naweza kukufuata nikupe mimba na kusepa. Sema unataka mtoto wa kiume au wa kike. Ujuzi huo wa kuchagua jinsia ya mtoto ntakuelekeza bure kabisa. Njoo pm nikupe namba yangu fasta.
 
Huyo mtoto akiwa mkubwa ataleta tangazo hapa hapa JF kua anamtafuta baba yake.
 
Wanaume waoaji cku hizi hakuna mabinti wameiva muda wa kuolewa umefika waoaji hamna,wanaamua sasa wazae tu walee,vijana oeni akina dada wanateseka sana.
Dini za kikoloni zilizuia kuoa mke zaidi ya mmoja.
Hizi Shida zisingekuwepo.
 
Kwa hakika utampata makabika mengine wasiojua thamani ya mtoto, ila kwa wachagga mtoto ni hazina, nakushauri ukaya wanauza mbegu kanunue ili ukifanikiwa usibugudhiwe na yeyote.
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Nakushauri nenda ulaya wanauza mbegu au waweza bahatika kupata wa makabila mengine wasiojua thamani ya mtoto huku uchaggani mtoto ni hazina.
 
huku jf wapo wapenda papuchi tu wanaume wa kupanga mambo sirias ni wachache kuwa makini
Wanaume wapo wengi kinachoharibu mmekuwa after money sana, na mkataba wabeijing ndio unaowaponza vijike nyie vidume nyie mtajenga vipi familia?
 
Hahaaaa sio mimi. Mimi nikishapata tu ujauzito tusijuane tena

Hahahaaaaaa hapo umeniweza, njoo mamaa tuyajenge, pia mm ni msomi, bilashaka Mtoto wako ata inherit brain ya maana!!! Akili kubwaaaaaaazzz.
Ila lazima dogo umtambulishe kuwa mm ndo dingi.
 
Njoo Huku kwa wanaume wa Dar kama huko wamekushindwa! Huku Tunazikimbia hizo...
 
Back
Top Bottom