Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Njoo inbox
 
Kumbuka unatafuta mtoto sio kwamba utampata siku unayotaka ww inaweza chukua hata mwaka mzima . na pia kumbuka unapozidi kuwa na mtu muda mrefu ndo mapenzi yanazidi kuwepo je ni nani atakubali kupoteza damu yake kirahisi hivyo
 
Sitaki kuzaa na seregenti boy nitaathirika kisaikolojia
Umesema kuwa unataka mwanaume wa kuzaa nae tu bhasi

Sasa kuathirika kisaikolojia utaathirika vipi while msababishaji mimba hatakuwa karibu na wewe ?

Unatafuta mme wewe miss nimechoka sema tu umetumia njia isiyo sitahiki.
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Sifa zote ninazo na nipo Arusha. Tatizo, sipo tayari kuacha mtoto wangu kwa mtu mwingine. Halafu sisi kwetu wachawi sana, utapata shida na huyo mtoto ukibaki nae mwenye. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Na mimi nipo Arusha na sifa zote ninazo. Tatizo lako wewe 'Nimechoka' ni kwamba una bwana hutaki akuache kwa hiyo nikikupa mimba mimi utamwambia ni yake. Si useme wazi?
 
hizi ni dalili za kujikataa na kukata tamaa na hata jina lako linaonyesha kuwa umejikataa! kwa hali hii inaonyesha kuwa kwa kuwa wewe umeanza kujikataa hivyo sasa unataka ukataliwe!
hii inawezekana inatokana na mateso na masumbufu uliyoyapata huko nyuma na wanaume na mwisho wa siku unafikiri unaweza kujitawala mwenyewe.
mwanzo kwa maisha ya kawaida haisumbui lakini kwa maamuzi yako yanaweza kukutengenezea magonjwa siku zijazo ya pressure na kisukari yanayoweza kuwa yametokana na ubinafsi wako ambao unaanza kuujenga sasa!
kwa kuwa swali la mwanao baba yuko wapi litakukera na hautakuwa tayari kumpa majibu mazuri na matokeo yake utaona maumivu aliyonayo na hiyo hali itakupa shida katika maisha yako.
nakushauri yafuatayo:-
  1. kwanza badilisha hilo jina unalotumia kwa kuwa linaumba hali ya kukataliwa kwako na kujikataa
  2. pili jiamini na amini bado unafursa sawa ya kuweza kuwa na mume kama wnawake wengine
  3. jifanyie SWOT analysis na hakikisha unajipa maksi za juu kwanza na pale penye mapungufu hakiksha unapajazilizia kwa mazuri ulionayo
  4. tafuta watu wakufanyie huduma ya maombi au cancelling unaowaamini wanaweza kuwa msaada kwako na jifunue kwao (hali yako ) nao wanaweza kukusaidia kubadilika
  5. mwisho amini kuna mtu anakutafuta hajui atakupata lini
  6. kwa maelezo mengine ni pm (sio kama najipigia pande hapana nahitaji uwe mwanamke uliyefanikiwa katika mawazo yako na fikra zako ukiwa umekombolewa na utumwa wa maumivu ya ndani)
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
sifa zoote ninazo ila siko tayari kuacha damu yangu ipotee
,kama uko tayari kubadili hicho kipengele ni pm chaap
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
mimi hapa ila miaka 25
 
Unatafuta pa kutokea ? Unatafuta buzi ww. Ukishapata hio mimba iweje uanze kudai matunzo ?
 
Siwezi nikapoteza damu yangu bure,hta kama una uwezo wa kulea mtoto lazima amjue baba yake
 
Kwani Tanzania hakuna sperm bank?, nenda huko ukajichagulie mbegu inayokufaa
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha len

toa na sifa zako sasa kwani sisi wanaume wenye sifa hizo hatutaki kuchezewa na mamiss waliochoka
 
Back
Top Bottom