Nasikia kule nyeri wanawake wa huko ni wabaya wa sura hadi wanaume wanaamua kutembea na wanyama,so huenda hizo type zipo hadi ....
ni pm sasa hivi
Hilo swali mzee?????!!!!!
Hujasoma kiswahili na methali/misemo kwamba kizuri chajiuza...
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.
Jamani we si una mke?
kwani amesema anataka mume?si anataka mtoto tu?hebu mshawishi basi ani pm mapema.na tumawingu mawingu hutu dah mbona atafurahi mwenyewe!!!!
Ninaitamai sana hiyo fursa ila bado ninamashaka nayo, maana haya mambo ya kufanya maramoja tu akishapa mtoto stori kwisha, hicho kizego kwangu ni kigumu sana, yaani nikiwa naenda kumuangalia mtoto tunakuwa kaka na dada. Loolchangamkia fursa kabla haijawahiwa..
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.
Duuh, haya