Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Wanawake bwana tabu. Mie nilipata wa hivyo nimezaa naye na ni mme wa mtu. Ananisumbua matumizi na kutaka kumleta mtoto nyumbani kwangu! Na mke wangu sijawahi mwambia kuwa nina mtoto wa nje!
 
awe mrefu unamaanisha nini?
umbo au size ya uume wake?
kama shida yajo kuzaa urefu wa kimo hauna maana
cha muhimu uzipte mbegu
 
awe mrefu unamaanisha nini?
umbo au size ya uume wake?
kama shida yajo kuzaa urefu wa kimo hauna maana
cha muhimu uzipte mbegu
Anajiandaa kabisa ili mtoto akifanana na baba yake asiwe majanga
 
Nani kakudanganya?wanawake wa Nyero sio wabaya kwa sura.Ila walikuwa na mkakati wa kupunguza ulevi wa waume zao kwa kuwapiga waume walevi kupindukia ili kuirudisha jamii yao kwenye mstari.
ahahahaha,halafu ikawaje tena wakaanza kubaka punda,kuku etc.
 
Asanteni wote kwa mlionipm sasa wametosha ngoja ni screen mmoja mmoja
 
Ok hamna shida we ni pm tu ...tupate mtoto sasaivi.
 
Wew kama ni mzungu alafu nenene ni PM manaake mi mwenyewe nataka chotara saivi
 
dah! mbunye ya bure hii naikosa .kwa ufupi wangu na sura mbaya....
 
Maumivu ya kichwa huanza pooooole pole. Maumivu sio mzaha, na unahitaji ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Back
Top Bottom