Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Hapo safiii, na mimi nilikuwa natafuta wa kumzalisha afu akishazaa kila mmoja na hamsini zake, kama vipi we can make a deal
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.

kweli mbunyee zimeshuka thamani yaani unaitoa mbunyee burebure huku mtandaoni? mi nilifikiri ni kona bar tu mbunyee ndio zinapatikana kirahisi aisee ngoja nikutafute na mi huwa napenda vya kunyonga kweli kuchinja siwezi.
 
Kumbe fursa zipo nyingi hivi, ngoja nianzishe huo mradi wa kuzalisha wadada wanaopenda kutunza watoto peke yao, subiri tangazo wapi nitakuwepo.

changamkia fursa kabla haijawahiwa..
 
sion Hata mmoja tumeni CV zenu
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.

utoto mwingi.
Nani alikwambia umbile na muonekano wa mtoto lazima utoke kwa baba?hahahahaha
 
ntafute kapuya yule wa ccm ndo mwenye uwezo wa kuzalisha malaya mwenzake
 
Nimecheka sana JF bana eti ukapuya...
Binafsi naona mtoa mada analeta jokes tuu nothn serious
 
Back
Top Bottom