Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.
Unataka awe na sura nzuri na awe mrefu,vp ww hizo sifa unazo? Me nna futi 5 na nchi 10. Na ni hb wa ukweli!
 
I bet... utaishia kwa mtu wa mtu tu! ...na hapo ndipo utakapoona rangi zote! Pole dada
 
Jamani asante sana kwa kujitokeza hata mimi nahitaji mtoto ila ctaki kuoa nadhani kwangu kupima sio tatizo!
piga 0752838523
Hope utapiga mapema!
 
Mhh nyie ndio wale mnaozaa watoto kisha mnaenda kuwauza
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.

Kwa jinsi unavoeleza , ingekuwa vizuri ukatafuta donated sperm hospitalini ! Huko kuna wide selection ya mtoto wa aina gani umtarajie!
niliwahi kusikia kenya wanafanya sijui kama kwetu utaalam huo upo.
By the way bill clinton is a product of donated sperm , kama una mkwanja wa kutosha jaribu nje ya nchi
 
Sitaki kukurupuka, jieleze; Umri wako, sura yako, umbo lako, na status yako. Utanipa nini baada ya kukubebesha mzigo? Je ni watoto wangapi unataka? Ni PM nikusikie hata sound basi.
 
alienae amtoe wapi?wanaume siku hizi wako very selective,usikute ni michelin tena sura ikawa haivutii nani atamchangamkia?.

Nasikia kule nyeri wanawake wa huko ni wabaya wa sura hadi wanaume wanaamua kutembea na wanyama,so huenda hizo type zipo hadi ....
Hatareeeeeeeee!
 
Hebu andika details zako kwa email hii hapa "mwarabu@rocketmail.com" ili tuone tunakusaidiaje kwenye hii issue...
 
Tuwasiliane kwa mail hii nnayo solution ya tatizo lako,hebu imagine unalea mtoto wa kiarabu... andika kwa mail hii "mwarabu@rocketmail.com"
 
Back
Top Bottom