Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

ma-heartthrobs mpoooooooooooo?
wenye sura kama wanalamba ndimu au ukwaju hapa dada hawataki
 
Kwanza una elimu gani? Je huyu handsome atakupenda wewe? Pengine you will not be able to match!
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.

sina hakika kama umepevuka kiakili kielimu na kiuchumi, maana Si rahisi sana kutamka hayo maneno ya kutaka kuzaa na kulea mwenyewe. Nature is not very kind as you think my dear, there are so many complications to the pregnant mother to be. kutapika, kichefuchefu, kuchagua chakula, kuchukia baadhi ya watu, kupenda baadhi ya watu na vitu, Pia kama umeajiriwa secta binafsi na kazi utafukuzwa. Tembelea mabenki na makampuni binafsi hata mashirika ya kimataifa uone kama utaona mamimba mimba ya hovyo mle.

Njoo mahudhurio ya clinics yatakutoka mamilioni. Njoo kwenye DELIVERY stage kama huna mapesa na influence namtu mwenye kukujali wewe na huyo mtoto na kifo utakikuta huko huko labour. Sasa njoo kweye malezi mtoto mpaka aanze baby class 15m haitoshi. class 1 -Vii international 3m x7 = 21. hapo anaanza balehe kama ni wa kiume hakusikii wewe mama ake tena anakuona sawa na demu wake tuu. Hapo role ya baba isipoingilia kati anakuwa teja au BWABWA au vyote kwa pamoja. sitaki kwenda mbele sana lakini mimi ninao mfano hai wa demu aliyekuwa na jeuri kama ya kwako sasa hivi mtoto ana mwaka tuu amebwaga manyanga kila siku ustawi wa jamii akiomba msaada na kazi na biashara anazo.

My take: Malezi ya mwana ni baba na mama ndiyo maana hata MUNGU alipomleta YESU duniani kutuokoa alimpatia Maria na yosefu wamlee pamoja vinginevyo jukumu hilo angepewa mama maria peke yake. Acha illusion kama unataka kuwa mama wa familia tafuta mumu mwema mtengeneze familia.
 
bas njoo inbox tupeane mawacliano nkupe mbegu admu, znapatkana kwa wa2 wachache kama mimi.
 
Mkuu watu8 umenichekesha sana..Haya sasa usharusha mtama dada majogoo ya kuazima yanakuja kazi kwako kuchagua aliyenona.
Ee bwana ID yako imenikumbusha enzi hizo tunanunua vidonge vya asporo dukani dah umetisha mtu mzima! back to topic huyu mtoa mada anapingana na mpango wa Mungu unaosema mtoto ni tunda la ndoa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom