Weka namba hapoNaitwa Josephine kabila langu ni Mhaya, nimemaliza chuo nimejiajiri natafuta mwanaume awe na umri kati ya 30 kuendelea mi nina 25.
Jamani nipo serious sihitaji mzaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
muwe mnaambatanisha na picha hata ya miguu basi kama mnaona ya uso mtajulikanaNaitwa Josephine kabila langu ni Mhaya, nimemaliza chuo nimejiajiri natafuta mwanaume awe na umri kati ya 30 kuendelea mi nina 25.
Jamani nipo serious sihitaji mzaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew ni mwanamke wa kweli??Naitwa Josephine kabila langu ni Mhaya, nimemaliza chuo nimejiajiri natafuta mwanaume awe na umri kati ya 30 kuendelea mi nina 25.
Jamani nipo serious sihitaji mzaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuharibia wenzio!Kuwa makini wengine watakuja kujifanya wanataka kuoa ukiwapa Papuchi wanasepa
Mkuu acha kutoa siri za kambi.Kuwa makini wengine watakuja kujifanya wanataka kuoa ukiwapa Papuchi wanasepa