Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Kiiiidooooogo niombee apanue umri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiiiidooooogo niombee apanue umri
Hapo neno "umri" mi nimesoma "mapaja"Kiiiidooooogo niombee apanue umri
Unataka mwanaume mashine au!??Naitwa Josephine kabila langu ni Mhaya, nimemaliza chuo nimejiajiri natafuta mwanaume awe na umri kati ya 30 kuendelea mi nina 25.
Jamani nipo serious sihitaji mzaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu mbona mtaan wanaleta mbwembwe..kila mtu huku ana mtu!Duh! Skuiz kilasku lazima nione msichana anatafuta mtu, kwahiyo waoaji ndio mnategeana au
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Waoaji siku hizi hakuna waliobaki nao wanataka kuolewa.Duh! Skuiz kilasku lazima nione msichana anatafuta mtu, kwahiyo waoaji ndio mnategeana au
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Kwani wapi kasema anataka kuolewa????? Njoo inbox dada nikupe vitu adimuKuwa makini wengine watakuja kujifanya wanataka kuoa ukiwapa Papuchi wanasepa
Haya kuja pm...!! Vp 26 hutaki???Naitwa Josephine kabila langu ni Mhaya, nimemaliza chuo nimejiajiri natafuta mwanaume awe na umri kati ya 30 kuendelea mi nina 25.
Jamani nipo serious sihitaji mzaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waoaji siku hizi hakuna waliobaki nao wanataka kuolewa.
Kaka zangu sio wavulana ni wanaume na wote wameoa mkuu.Mkuu ndio umefika kuwadharau kaka zako kiasi hicho aiseeeee... futa kauli yako
Kaka zangu sio wavulana ni wanaume na wote wameoa mkuu.